Masheikh waapa kuiadhibu CCM kesho
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM.
KAMATI ya Masheikh na Maimamu wa Mkoa wa Dar es Salaam, wamewataka waamini wa dini ya Kiislamu na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanampigia kura na kumchagua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ili kuweza kuleta mabadiliko ya kweli nchini.
Kauli hiyo ilitolewa jana wakati masheikh hao wakiwajibu wenzao wa Mwanza ambao Oktoba 17 katika kuadhimisha sherehe za mwaka mpya wa Kiislamu walikaririwa wakimtaja Lowassa kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Israeli yaapa kuiadhibu Hamas !
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s72-c/4.jpg)
MWENYEKITI WA CCM,RAIS JAKAYA KIKWETE AWASILI JIJINI MBEYA JIONI YA LEO TAYARI KWA KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM KESHO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOH9GqvqQng/Uu0mAtmicVI/AAAAAAACZ1E/Y4a_6Ciud3Q/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N4kxCfEFURw/Uu0mCWkXhsI/AAAAAAACZ1U/b-ceBti8L2c/s1600/6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Oct
Wazee waapa kuacha ukeketaji
WAZEE wa kimila kutoka koo zote za kabila la Wakurya wilayani Tarime, wamekubaliana mbele ya Mkuu wa wilaya Tarime, John Henjewele, kuacha kukeketa watoto wa kike.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Mawaziri waapa bila shamrashamra
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Ukawa waapa kulinda kura
katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika BEATRICE SHAYO 4th October 2015 Kaimu katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa bahari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Tume ya Taifa ya […]
The post Ukawa waapa kulinda kura appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wakurugenzi waapa kuzuia vifo
WAKURUGENZI wa halmashauri katika mkoa wa Rukwa wamelishwa kiapo kuhakikisha katika wilaya zao hapatokei kifo cha mama na mtoto wakati wa kujifungua.
11 years ago
Habarileo19 Dec
UVCCM waapa kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema itaendelea kuyalinda na kuyaenzi Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 huku wakiwaasa wapinga mapinduzi kuwa wananchi wa Zanzibar, hawatakubaliani na hoja yao hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xbc0vWPYETvSBXpvCpW67Y21F9YqpllsWffS3kPK6jEtJogn3loEybeNknTNNdFIw8m4n0Qyo5U9Mlr11lMxdDciedmYbm9K/Mtitu.jpg)
MTITU, STEVE NYERERE WAAPA KUTOZIKANA!