Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee waapa kuacha ukeketaji

WAZEE wa kimila kutoka koo zote za kabila la Wakurya wilayani Tarime, wamekubaliana mbele ya Mkuu wa wilaya Tarime, John Henjewele, kuacha kukeketa watoto wa kike.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wamasai waridhia kuacha ukeketaji

Mokombo Olaiboni SimeliVIONGOZI wakuu wa jamii ya Kimasai wa Afrika Mashariki wameridhia kuachana na mila potofu zilizopitwa na wakati ikiwemo vitendo vya ukeketaji kwa wasichana wa jamii ya Kimasai ambavyo vimekuwa vikiwaathiri wasichana hao kwa kiasi kikubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwanini ni vigumu kuacha ukeketaji?

MKATABA wa Haki ya Mtoto unasema kwamba Maendeleo ya mtoto yanahusu ukuaji wake kimwili, kiakili, kimaadili na kiroho. Haki ya Elimu, Watoto na Ajira, Elimu ya Uhusiano wa wasichana na...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI

Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro. Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina. Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa Kimasai waridhia kuacha ukeketaji mbele ya UNESCO

Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.

Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.

Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee 60 Tarime kujadili ukeketaji

JUHUDI za kumaliza tatizo la ukeketaji katika wilaya ya Tarime zimeendelea kuzaa matunda, baada ya wazee wa mila 60 kukutana kukubali kuhudhuria semina inayolenga kutokomeza mila hiyo katika maeneo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA: Wazee watakiwa kuacha pombe, sigara

>Wazee wilayani hapa mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuachana na matumizi ya pombe na uvutaji wa sigara na kujiweka katika hali ya usafi ili waweze kuwa na afya bora na kuondokana na magonjwa yasiyo ya lazima.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri waapa bila shamrashamra

Halikuwa jambo la kawaida wakati hafla ya kuapishwa kwa mawaziri 30 Ikulu Dar es Salaam jana ilipofanyika kwa dakika 60, bila ya kuwapo kwa shamrashamra za aina yoyote.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukawa waapa kulinda kura

katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika BEATRICE SHAYO 4th October 2015 Kaimu katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa bahari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Tume ya Taifa ya […]

The post Ukawa waapa kulinda kura appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi waapa kuzuia vifo

WAKURUGENZI wa halmashauri katika mkoa wa Rukwa wamelishwa kiapo kuhakikisha katika wilaya zao hapatokei kifo cha mama na mtoto wakati wa kujifungua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani