Viongozi wa Kimasai waridhia kuacha ukeketaji mbele ya UNESCO
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.
![Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0446.jpg)
Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Jun
VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0408.jpg)
![Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo akimsikiliza kwa makini Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) kabla ya kutafsiri mada yake kwa wanasemina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0446.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Jun
Wamasai waridhia kuacha ukeketaji
VIONGOZI wakuu wa jamii ya Kimasai wa Afrika Mashariki wameridhia kuachana na mila potofu zilizopitwa na wakati ikiwemo vitendo vya ukeketaji kwa wasichana wa jamii ya Kimasai ambavyo vimekuwa vikiwaathiri wasichana hao kwa kiasi kikubwa.
10 years ago
Habarileo26 Jun
UNESCO kutekeleza mradi kuinua bidhaa za Kimasai
SHIRIKA la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania linatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiriamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana.
10 years ago
Michuzi24 Jun
UNESCO KUWAWEZESHA WAJASIRIAMALI JAMII YA KIMASAI NGORONGORO
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akimwelezea Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili kushoto), namna mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiliamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana kutoka Kata tano za Wilaya ya Ngorongoro utakavyotekelezwa juzi katika Kijiji cha Ololosokwan. Wengine ni maofisa miradi kutoka UNESCO wakishuhudia.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/Mradi-Uwezeshaji-Wamasai2.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jun
UNESCO KUWAWESHESHA WAJASIRIAMALI JAMII YA KIMASAI NGORONGORO
![Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akimwelezea Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili kushoto), namna mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiliamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana kutoka Kata tano za Wilaya ya Ngorongoro utakavyotekelezwa juzi katika Kijiji cha Ololosokwan. Wengine ni maofisa miradi kutoka UNESCO wakishuhudia.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/Mradi-Uwezeshaji-Wamasai2.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Oct
Wazee waapa kuacha ukeketaji
WAZEE wa kimila kutoka koo zote za kabila la Wakurya wilayani Tarime, wamekubaliana mbele ya Mkuu wa wilaya Tarime, John Henjewele, kuacha kukeketa watoto wa kike.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kwanini ni vigumu kuacha ukeketaji?
MKATABA wa Haki ya Mtoto unasema kwamba Maendeleo ya mtoto yanahusu ukuaji wake kimwili, kiakili, kimaadili na kiroho. Haki ya Elimu, Watoto na Ajira, Elimu ya Uhusiano wa wasichana na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s72-c/New%2BPicture%2B(14).png)
VIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_f7JbyBbNOQ/VB6dDrhGFuI/AAAAAAAGk10/mi8DaAsbiBY/s1600/New%2BPicture%2B(14).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0v8tNnrtwh4/VB6dE_7MGvI/AAAAAAAGk18/J-9vJUdJ7B4/s1600/New%2BPicture%2B(9).png)
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele