VIONGOZI WA KIMASAI WARIDHIA KUACHA UKEKETAJI
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro. Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai katika semina hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Viongozi wa Kimasai waridhia kuacha ukeketaji mbele ya UNESCO
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kushoto) akimpongeza Kiongozi Mkuu wa Jamii ya Kimasai Afrika Mashariki, Mokombo Olaiboni Simeli kwenye semina ya viongozi mbalimbali wa jamii ya kimasai, wazazi, viongozi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Ngorongoro, wakuu wa idara ya afya na vitengo vya ustawi wa jamii wilaya ya Ngorongoro.
Susana Koillah, Mama Shughuli na mtafsiri wa lugha ya Kimasai...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Wamasai waridhia kuacha ukeketaji
VIONGOZI wakuu wa jamii ya Kimasai wa Afrika Mashariki wameridhia kuachana na mila potofu zilizopitwa na wakati ikiwemo vitendo vya ukeketaji kwa wasichana wa jamii ya Kimasai ambavyo vimekuwa vikiwaathiri wasichana hao kwa kiasi kikubwa.
10 years ago
Habarileo27 Oct
Wazee waapa kuacha ukeketaji
WAZEE wa kimila kutoka koo zote za kabila la Wakurya wilayani Tarime, wamekubaliana mbele ya Mkuu wa wilaya Tarime, John Henjewele, kuacha kukeketa watoto wa kike.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kwanini ni vigumu kuacha ukeketaji?
MKATABA wa Haki ya Mtoto unasema kwamba Maendeleo ya mtoto yanahusu ukuaji wake kimwili, kiakili, kimaadili na kiroho. Haki ya Elimu, Watoto na Ajira, Elimu ya Uhusiano wa wasichana na...
10 years ago
MichuziVIONGOZI WA KIMASAI WAPATIWA ELIMU YA LISHE
10 years ago
Habarileo26 Dec
Malasusa ahimiza viongozi nchini kuacha ufisadi
UFISADI uliokithiri umeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na woga wa viongozi kwa kushindwa kuwachukulia hatua stahiki watuhumiwa wa matukio ya ufisadi nchini.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Viongozi ulaya wanavyolazimika kuacha madaraka wanapokosea
9 years ago
Bongo529 Sep
Dully Sykes awaonya watu kuacha kukashifu viongozi wa siasa
10 years ago
VijimamboKINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini Ali Makame akitoa salaam za ufunguzi wa mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye vya Skuli ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Wananchi wakifurahia mkutano wa Kinana.
Mbunge wa Viti Maluum Kidawa Hamisi akitoa hotuba na elimu kwa waliohudhuria mkutano kwenye viwanja vya Skuli, Nungwi.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Nungwi wilaya ya Kaskazini A kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika...