Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Waziri Mpango aapa kuwawajibisha wakwepa kodi

Waziri wa Fedha Dokta Philip Mpango amesema hatakubali kuona ama kuendelea kuwafumbia macho watu watakaobainika kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kama pango la kujinufaisha kiuchumi.

Sambamba na hilo, Serikali imeandaa mazingira rafiki ya mifumo ya ukusanyaji mapato ikiwa ni pamoja na kuondoa ushuru kwa Wafanyabiashara ndogo ndogo na badala yake itajikita kwa wafanyabiashara wakubwa.

Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango ameeleza mikakati yake kama sehemu ya kufanikisha adhima ya Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mwakyembe aanza fagiafagia TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza kung’olewa kwa baadhi ya vigogo wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ambao wanatuhumiwa kuhusika katika mchakato wa ununuzi wa mabehewa ya kusafirisha kokoto kutoka India, ambayo yalibainika kuwa mabovu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe asimamisha sita TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeKAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wananchi Kuwawajibisha viongozi

Mjadala kuhusu uwezo wa wananchi katika kuwawajibisha viongozi wao hasa wa serikali za mitaa

 

10 years ago

StarTV

Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi

Na Wambura Mtani,

Mwanza.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

 

Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

DK Slaa amtaka JK kuwawajibisha wakuu vyombo vya dola nchini

>Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa, amehitimisha ziara yake wilayani Igunga na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkuu wa Jeshi la Polisi pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kutokana na sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU).

 

5 years ago

Michuzi

Madiwani Waazimia kuwawajibisha watumishi wanaokula njama na wakwepa ushuru

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi limeazimia kuzitumia kanuni za utumishi wa umma zinaoelezea adhabu inyaotolewa kwa watumishi ambao hawawajibiki ipasavyo kwa mwajiri wao katika kuhakikisha wanakusanya ushuru kwenye maeneo yao waliyopangiwa na hatimae kuongeza mapato ya halmashauri hiyo iliyopo Mkoani Rukwa

Kauli hiyo imetolewa na kaimu mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Steven Kayogolo wakati akifunga baraza hilo la robo ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020 na kuongeza kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani