Mwakyembe aapa kuwawajibisha TRL
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameahidi kuichukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu bodi ya zabuni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) baada ya kubainika ukiukwaji wa taratibu za manunuzi ya mabehewa ya kubebea kokoto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Dec
Waziri Mpango aapa kuwawajibisha wakwepa kodi
Waziri wa Fedha Dokta Philip Mpango amesema hatakubali kuona ama kuendelea kuwafumbia macho watu watakaobainika kuitumia Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kama pango la kujinufaisha kiuchumi.
Sambamba na hilo, Serikali imeandaa mazingira rafiki ya mifumo ya ukusanyaji mapato ikiwa ni pamoja na kuondoa ushuru kwa Wafanyabiashara ndogo ndogo na badala yake itajikita kwa wafanyabiashara wakubwa.
Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango ameeleza mikakati yake kama sehemu ya kufanikisha adhima ya Serikali...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Dk Mwakyembe aanza fagiafagia TRL
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Mwakyembe asimamisha sita TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harisson Mwakyembe, amewasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya sita wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), akiwemo Kaimu Mkurugenzi, Pascal Mafikiri, kwa kuhusika katika uagizaji wa mabehewa mapya...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Dk Mwakyembe: Sitamvumilia yeyote TRL
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema hatomvumilia kiongozi yeyote wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), atakayetajwa na kamati ndogo iliyoundwa kuchunguza ufisadi ndani ya kampuni hiyo. Dk Mwakyembe aliteua...
10 years ago
Habarileo02 Dec
Mwakyembe akabidhiwa ripoti ya ‘madudu’ TRL
KAMATI ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe imekabidhi ripoti ya uchunguzi iliyofanya huku ikitoa mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa ili kampuni hiyo irudi katika hali yake.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wananchi Kuwawajibisha viongozi
10 years ago
StarTV06 Feb
Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi
Na Wambura Mtani,
Mwanza.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.
Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
DK Slaa amtaka JK kuwawajibisha wakuu vyombo vya dola nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ntdmY_aXX0U/Xl4UP_JAtuI/AAAAAAALgiA/1Wyz_eD-dbgDiTGEJrBscIKwGcXXl19hQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Madiwani Waazimia kuwawajibisha watumishi wanaokula njama na wakwepa ushuru
Kauli hiyo imetolewa na kaimu mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Steven Kayogolo wakati akifunga baraza hilo la robo ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020 na kuongeza kuwa...