DK Slaa amtaka JK kuwawajibisha wakuu vyombo vya dola nchini
>Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa, amehitimisha ziara yake wilayani Igunga na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkuu wa Jeshi la Polisi pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kutokana na sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Mwananchi15 Aug
Vyombo vya Dola vyamkana Mnyika
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha Zinaa?
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Ripoti yaanika mauaji ya vyombo vya dola
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Simba yaita vyombo vya dola kuchunguza
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema upo radhi vyombo vya dola vichunguze mkataba wao na mchezaji, Ramadhani Singano ‘Messi’, ili kuweza kubaini ukweli na kutatua utata unaoendelea kwa sasa.
Messi atakuwa mchezaji wa pili Simba mkataba wake kuchunguzwa na vyombo vya dola baada ya ule wa Athuman Idd ‘Chuji’ kudaiwa kufojiwa saini kama lilivyo sakata la Messi, kipindi anataka kuihama klabu hiyo mwaka 2008/2009.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa klabu...
10 years ago
Mwananchi31 May
Lipumba: Vyombo vya dola vinashiriki ushirikina
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Vyombo vya dola vitokomeze unyanyasaji kwa wanawake
MWEZI mmoja uliopita niliandika makala iliyoelezea ni kwa jinsi gani imani za kishirikina zinavyochangia kwa kiasi kikubwa katika unyanyasaji kijinsia na hasa wanawake, na hata kusababisha vifo hasa kwa vikongwe...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu-LHRC