Ripoti yaanika mauaji ya vyombo vya dola
Matukio ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Ripoti yaanika mauaji
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Vyombo vya Dola vyamkana Mnyika
10 years ago
Mwananchi31 May
Lipumba: Vyombo vya dola vinashiriki ushirikina
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Je ni sawa vyombo vya dola kuharamisha Zinaa?
10 years ago
Mtanzania03 Jun
Simba yaita vyombo vya dola kuchunguza
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema upo radhi vyombo vya dola vichunguze mkataba wao na mchezaji, Ramadhani Singano ‘Messi’, ili kuweza kubaini ukweli na kutatua utata unaoendelea kwa sasa.
Messi atakuwa mchezaji wa pili Simba mkataba wake kuchunguzwa na vyombo vya dola baada ya ule wa Athuman Idd ‘Chuji’ kudaiwa kufojiwa saini kama lilivyo sakata la Messi, kipindi anataka kuihama klabu hiyo mwaka 2008/2009.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa klabu...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Vyombo vya dola vitokomeze unyanyasaji kwa wanawake
MWEZI mmoja uliopita niliandika makala iliyoelezea ni kwa jinsi gani imani za kishirikina zinavyochangia kwa kiasi kikubwa katika unyanyasaji kijinsia na hasa wanawake, na hata kusababisha vifo hasa kwa vikongwe...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Vyombo vya dola kinara uvunjifu wa haki za binadamu-LHRC
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Vyombo vya dola; adui mkubwa wa demokrasia na utawala bora
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Katiba sasa itapatikana kwa kutumia vyombo vya dola?
EEEEEH! Eti hivi ndivyo Katiba tarajiwa italindwa? Haya ndiyo maridhiano katika kuandika katiba mpya? Polisi, virungu na mbwa ndio mjadala wa kukamilisha katiba mpya enyi wanadamu? Kama Katiba ni ya...