Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti yaanika mauaji

MATUKIO ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti. Ripoti hiyo iliyozinduliwa jana inaonyesha kuwa mauaji hayo yalitekelezwa na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi, Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na sungusungu. Vyombo vingine vilivyotajwa katika matukio hayo ni polisi jamii na...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ripoti yaanika mauaji ya vyombo vya dola

Matukio ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti.

 

10 years ago

Habarileo

Ripoti ya CAG yaanika madudu

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa AssadRIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema mauaji yanatisha,2014

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International limesema mauaji ya halaiki ya mwaka 2014 ni aibu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebosse:Algeria yapinga ripoti ya mauaji

Algeria imesisiiza kwamba kifo cha mchezaji wa Cameroon Albert Ebosse kilisababishwa na mashabiki waliokuwa wakirushi vitu.

 

10 years ago

Michuzi

UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI

 Mratibu Mkuu wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania (Uwawata), Julius Juju (wapili kulia) akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, ripoti inayopinga upigaji wa ramli na mauaji ya albino na vikongwe nchini. Ripoti hiyo iliyoandaliwa na zaidi ya Wajumbe 200 wa Uwawata baada ya kufanya utafiti ya mauaji ya albino katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na kufanya semina ya hitimisho jijini Mwanza kwa kutoa maazimio ya kupinga mauaji hayo. Kulia ni Mkaguzi wa Waganga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaanika nyota Kagame

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alitangaza kikosi kitakachokwenda mjini Kigali, Rwanda kucheza michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Agosti 8. Akizungumza jijini Dar...

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA yaanika siri za Jerome Valcke

Waendesha mashitaka wa Uswisi wamethibitisha kwamba shirikisho la soka duniani,FIFA ,limekubali kuweka wazi akaunti ya barua pepe mali ya Jerome Valcke.

 

11 years ago

Habarileo

Ikulu yaanika posho Tume ya Warioba

TUME ya Mabadiliko ya Katiba haikufukuzwa kazi, isipokuwa siku ya ukomo iliwekwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Ikulu imesisitiza kuwa haikuwa na madaraka wala mamlaka, kuibadilisha. Aidha, Ikulu imeanika viwango vya posho, ambavyo wajumbe wa tume hiyo walikuwa wakilipwa vya kati ya Sh 100,000 na Sh 500,000 kwa siku.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Benin yaanika wakali kuivaa Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani