Ripoti yaanika mauaji
MATUKIO ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti. Ripoti hiyo iliyozinduliwa jana inaonyesha kuwa mauaji hayo yalitekelezwa na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi, Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na sungusungu. Vyombo vingine vilivyotajwa katika matukio hayo ni polisi jamii na...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Ripoti yaanika mauaji ya vyombo vya dola
10 years ago
Habarileo20 May
Ripoti ya CAG yaanika madudu
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Ripoti yasema mauaji yanatisha,2014
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ebosse:Algeria yapinga ripoti ya mauaji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s72-c/PIX%2B1.jpg)
UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqomeZz07-M/VT-Dx2jKGrI/AAAAAAAHTy8/533fEFnR1pI/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Yanga yaanika nyota Kagame
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alitangaza kikosi kitakachokwenda mjini Kigali, Rwanda kucheza michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Agosti 8. Akizungumza jijini Dar...
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
FIFA yaanika siri za Jerome Valcke
11 years ago
Habarileo03 Apr
Ikulu yaanika posho Tume ya Warioba
TUME ya Mabadiliko ya Katiba haikufukuzwa kazi, isipokuwa siku ya ukomo iliwekwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Ikulu imesisitiza kuwa haikuwa na madaraka wala mamlaka, kuibadilisha. Aidha, Ikulu imeanika viwango vya posho, ambavyo wajumbe wa tume hiyo walikuwa wakilipwa vya kati ya Sh 100,000 na Sh 500,000 kwa siku.
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Benin yaanika wakali kuivaa Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya taifa ya Benin ukitarajia kutua nchini kwa mafungu kuanzia leo, kocha wa timu hiyo, Olle Didier Nicolle ametaja nyota 18 watakaocheza mechi ya...