Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti yasema mauaji yanatisha,2014

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International limesema mauaji ya halaiki ya mwaka 2014 ni aibu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa

Ripoti ya uchunguzi uliofanywa na madaktari wa Congo kuhusu vifo vya wanajeshi wake inaonyesha kwamba huenda waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji Ebosse alipigwa,ripoti yasema

Mchezaji soka wa Cameroon Albert Ebosse alifariki baada ya kuvamiwa na kupigwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

AU yasema haitakubali mauaji Burundi

Muungano wa Afrika umesema hautakubali mauaji mengine ya kimbari yafanyike katika “ardhi ya bara hili”.

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi

Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ripoti yaanika mauaji

MATUKIO ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti. Ripoti hiyo iliyozinduliwa jana inaonyesha kuwa mauaji hayo yalitekelezwa na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi, Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na sungusungu. Vyombo vingine vilivyotajwa katika matukio hayo ni polisi jamii na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebosse:Algeria yapinga ripoti ya mauaji

Algeria imesisiiza kwamba kifo cha mchezaji wa Cameroon Albert Ebosse kilisababishwa na mashabiki waliokuwa wakirushi vitu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti yaanika mauaji ya vyombo vya dola

Matukio ya vyombo vya dola kutumia nguvu kupita kiasi yamezidi kuongezeka nchini na kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2013 ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), watu 34 waliuawa na watumishi wa vyombo hivyo katika nyakati tofauti.

 

10 years ago

Michuzi

UWAWATA WAMKABIDHI WAZIRI CHIKAWE RIPOTI INAYOPINGA UPIGAJI WA RAMLI NA MAUAJI YA ALBINO NA VIKONGWE NCHINI

 Mratibu Mkuu wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania (Uwawata), Julius Juju (wapili kulia) akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, ripoti inayopinga upigaji wa ramli na mauaji ya albino na vikongwe nchini. Ripoti hiyo iliyoandaliwa na zaidi ya Wajumbe 200 wa Uwawata baada ya kufanya utafiti ya mauaji ya albino katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na kufanya semina ya hitimisho jijini Mwanza kwa kutoa maazimio ya kupinga mauaji hayo. Kulia ni Mkaguzi wa Waganga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Magereza ya Korea Kaskazini yanatisha

Ripoti ya UN imeeleza kwamba mfumo wa magereza Korea Kaskazini ni wa kuangamiza, kuua, kuwageuza wafungwa kuwa watumwa, ulio na unyanyasaji, ubakaji na uavyaji wa lazima wa mimba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani