Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magereza ya Korea Kaskazini yanatisha

Ripoti ya UN imeeleza kwamba mfumo wa magereza Korea Kaskazini ni wa kuangamiza, kuua, kuwageuza wafungwa kuwa watumwa, ulio na unyanyasaji, ubakaji na uavyaji wa lazima wa mimba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Magereza ya Korea Kusini yanatisha

Kamati ya haki za binadamu ya Umoja wa mataifa imeidhinisha azimio linaloliomba baraza la usalama la Umoja huo kuwakilisha malalamiko kuhusu haki za binadamu nchini Korea Kaskazini kwa mahakama ya kimataiafa ya uhalifu.

Kamati hiyo imepitisha hoja ya kufanywa uchunguzi dhidi ya tuhuma za uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Korea Kaskazini.

Ripoti ya tume ya uchunguzi ya umoja huo ilitangaza mapema mwaka huu kwamba kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu Korea kaskazini kushinda muda, uzito na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

11 years ago

BBCSwahili

UN kuzindua dhulma za Korea Kaskazini

Umoja wa mataifa, unatarajiwa kuzindua ripoti maalum kuhusiana na dhulma za haki za binadamu zinazotekelezwa Korea Kaskazini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini kufikishwa ICC?

Baraza la umoja wa mataifa la haki za binadamu limesema Korea Kaskazini inastahili kufikishwa icc.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na bomu la Hydrogen

Korea Kaskazini kufanya jaribio la bomu la nyuklia , Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kuiwekea vikwazo.

 

10 years ago

Vijimambo

KOREA KASKAZINI YAMTUSI OBAMA



Rais Barrack Obama wa marekani amefananishwa na tumbili wa msitu wa TropikiKorea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.Tume ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani inavuruga mifumo ya mitandao ya nchi hiyo huku ikimfananishi rais wa marekani Barack obama na tumbili wa misitu ya tropiki mbali na kumshutumu kwa kuhusika katika kuonyeshwa ka filamu yenye utata inayojulikana kama The Interview.Filamu ya the...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yafyatua makombora

Korea kaskazini yafyatua makombora ya masafa mafupi kupinga mazoezi ya kijeshi katika peninsula ya Korea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani