Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji Ebosse alipigwa,ripoti yasema

Mchezaji soka wa Cameroon Albert Ebosse alifariki baada ya kuvamiwa na kupigwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebosse:Algeria yapinga ripoti ya mauaji

Algeria imesisiiza kwamba kifo cha mchezaji wa Cameroon Albert Ebosse kilisababishwa na mashabiki waliokuwa wakirushi vitu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema mauaji yanatisha,2014

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International limesema mauaji ya halaiki ya mwaka 2014 ni aibu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa

Ripoti ya uchunguzi uliofanywa na madaktari wa Congo kuhusu vifo vya wanajeshi wake inaonyesha kwamba huenda waliuawa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

9 years ago

Habarileo

Mshitakiwa akana maelezo, adai alipigwa

MSHITAKIWA katika kesi ya kuisababishia hasara kampuni ya kitalii ya sh milioni 800, Charles Minja (36) amekana maelezo yake na kusema alilazimishwa kuyaandika. Mshitakiwa huyo anashitakiwa na mwajiri wake wa zamani kampuni ya Utalii ya Leopard Tours kwa kuisababishia hasara ya Sh milioni 800 na kutoa risiti feki za kuonesha malipo.

 

10 years ago

GPL

MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE

Mwili wa AK47 ukitolewa katika mochwari ya Hospitali ya Nsambya. WAKATI wapenzi wa muziki nchini Uganda wakiwa bado wamegubikwa na simanzi kwa kuondokewa na mwanamuziki wa miondoko ya dancehall, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47, taarifa mpya zimeibuka kuwa kuna uwezekano kuwa alipigwa kabla ya kifo chake. Jose Chameleon (katikati) akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mdogo wake. AK47 amefariki… ...

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

10 years ago

BBC

Ebosse was murdered, says father

Albert Ebosse, the player who died after a match in Algeria last year, was murdered, according to his father.

 

11 years ago

BBC

Kabylie punished over Ebosse death

Algeria's JS Kabylie are banned from playing at home for the rest of the season after Cameroon player Albert Ebosse was killed by a stone.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani