Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshitakiwa akana maelezo, adai alipigwa

MSHITAKIWA katika kesi ya kuisababishia hasara kampuni ya kitalii ya sh milioni 800, Charles Minja (36) amekana maelezo yake na kusema alilazimishwa kuyaandika. Mshitakiwa huyo anashitakiwa na mwajiri wake wa zamani kampuni ya Utalii ya Leopard Tours kwa kuisababishia hasara ya Sh milioni 800 na kutoa risiti feki za kuonesha malipo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi

MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.

 

10 years ago

Bongo5

Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka

Said Fella amedai kuwa mashehe walihi kumfuata na kumtaka aache tabia ya kumvalisha suruali Bibi Cheka. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi TV, Fella alisema mashehe hao walimfuata na kumwambia Bibi Cheka anatakiwa kuswali na sio kufanya muziki. “Kuna muda si unajua dini yangu ya Kiislam wakatokea mashehe ‘ehh bwana unajua yule bibi mzee, kwanini mnamvalisha […]

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa- Msiponiachia najiua

MSHITAKIWA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imuachie huru akaishi na watoto wake au ajiue.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji Ebosse alipigwa,ripoti yasema

Mchezaji soka wa Cameroon Albert Ebosse alifariki baada ya kuvamiwa na kupigwa.

 

10 years ago

GPL

MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE

Mwili wa AK47 ukitolewa katika mochwari ya Hospitali ya Nsambya. WAKATI wapenzi wa muziki nchini Uganda wakiwa bado wamegubikwa na simanzi kwa kuondokewa na mwanamuziki wa miondoko ya dancehall, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47, taarifa mpya zimeibuka kuwa kuna uwezekano kuwa alipigwa kabla ya kifo chake. Jose Chameleon (katikati) akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mdogo wake. AK47 amefariki… ...

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika

MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa aua polisi kwa jiwe

ASKARI Polisi amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa jiwe kichwani na mshitakiwa wa kesi ya uvunjaji wa nyumba, Njoke ole Kiripi (34), mkazi wa Olebomba, wilayani longido.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata

MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani