Mshitakiwa akana maelezo, adai alipigwa
MSHITAKIWA katika kesi ya kuisababishia hasara kampuni ya kitalii ya sh milioni 800, Charles Minja (36) amekana maelezo yake na kusema alilazimishwa kuyaandika. Mshitakiwa huyo anashitakiwa na mwajiri wake wa zamani kampuni ya Utalii ya Leopard Tours kwa kuisababishia hasara ya Sh milioni 800 na kutoa risiti feki za kuonesha malipo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi
MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.
10 years ago
Bongo529 Dec
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mshitakiwa- Msiponiachia najiua
MSHITAKIWA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imuachie huru akaishi na watoto wake au ajiue.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mchezaji Ebosse alipigwa,ripoti yasema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E-eiwesnIS0OoICWmLkGGl*tXvoD7EZx0TAgvLJlhYHvQfQhJXc3o2RI6jmo7mB9vAu0KfrmejoCSR-zukt23qxSaifWn88y/ak3.jpg)
MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE
11 years ago
Habarileo18 Feb
Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika
MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.
11 years ago
Habarileo07 Feb
Mshitakiwa aua polisi kwa jiwe
ASKARI Polisi amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa jiwe kichwani na mshitakiwa wa kesi ya uvunjaji wa nyumba, Njoke ole Kiripi (34), mkazi wa Olebomba, wilayani longido.
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata
MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...