Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata
MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Shahidi aeleza mshitakiwa alivyosaidiwa kutorosha twiga
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Moshi, Kilimanjaro imeelezwa namna mshitakiwa namba moja katika kesi ya utoroshaji wa wanyama hai 130 wakiwamo twiga wanne kwenda nchi za Falme za Kiarabu, Kamran Ahmed,...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Mshitakiwa kesi ya Papaa Msofe alalamika
MSHITAKIWA wa kesi ya mauaji, Makongoro Nyerere anayeshitakiwa pamoja na mfanyabiashara maarufu Marijan Abubakar ‘Papaa Msofe’, amedai kuwa upande wa Jamhuri unawakomesha kwa kuwa kesi ni ya muda mrefu.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Miss Tanzania bado utata
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Mtuhumiwa kesi ya twiga aichezea mahakama
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kutorosha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda Jiji la Doha nchini Qatar inayowakabiliwa washitakiwa wanne akiwamo raia wa Pakistan, Kamran Ahmed, umeiomba mahakama kutoa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Yanga yajificha kisiwani, uwanja bado utata mtupu
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga hai kusikilizwa leo
11 years ago
Habarileo25 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga kwenye ndege yakwama
UPANDE wa mashitaka katika kesi ya usafirishaji wa wanyama hai aina ya twiga kwenda Doha, Qatar wameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro, kutoa hati ya kukamata mshitakiwa wa kwanza raia wa Pakstani, Kamran Ahmed ambaye hakufika mahakamani.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Utata kesi ya Mtanzania Afrika Kusini