Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa kesi ya twiga aichezea mahakama

UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kutorosha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda Jiji la Doha nchini Qatar inayowakabiliwa washitakiwa wanne akiwamo raia wa Pakistan, Kamran Ahmed, umeiomba mahakama kutoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe

Moshi. Mahakama imetoa amri ya kukamatwa raia wa Pakistan, Kamran Ahmed ambaye ni mshtakiwa namba moja katika kesi ya utoroshwaji wa twiga wanne kwenda Uarabuni.

 

9 years ago

StarTV

 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo

Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.

Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.

Baada ya uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

Vijimambo

MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI


Maofisa wa Polisi na Magereza wakiangalia mwili wa mtu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya na kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam saa 2:00 asubuhi ya leo. 
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinapasha kuwa mwili wa marehemu huyo ambaye bado jina lake halijatambulika umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Muhimbili. Picha kwa hisani ya Father Kidevu.

 

10 years ago

CloudsFM

Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa

MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.

Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa (kushoto) akizungumza na Abeid Adam Abeid nje ya Mahakama ya Wilaya ya Hai jana. Picha na Dionis Nyato
Hai. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.

Dk Slaa ambaye ni shahidi wa nane wa upande wa mashitaka, alitoa ushahidi huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa kesi kumng’ata yaya atinga kortini

>Kelele na sauti za zomeazomea jana zilitawala kutoka kwa watu waliokusanyika nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakati Amina Maige, anayekabiliwa na shtaka la kujeruhi mfanyakazi wa ndani, alipokuwa akiwasili eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), amewasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akipinga uamuzi uliompa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Taasisi ya Teknolojia Tanzania (DIT), Benedict Ngonyani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata

MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani