Mtuhumiwa kesi ya twiga aichezea mahakama
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kutorosha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda Jiji la Doha nchini Qatar inayowakabiliwa washitakiwa wanne akiwamo raia wa Pakistan, Kamran Ahmed, umeiomba mahakama kutoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s72-c/IMG-20141231.jpg)
MTUHUMIWA ALIYEJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA YA KISUTU APIGWA RISASI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mzzc_oRrCY8/VKOna06twLI/AAAAAAAAZsA/g_Umg2Yqbrw/s1600/IMG-20141231.jpg)
Maofisa wa Polisi na Magereza wakiangalia mwili wa mtu aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya dawa za kulevya na kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam saa 2:00 asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kinapasha kuwa mwili wa marehemu huyo ambaye bado jina lake halijatambulika umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Muhimbili. Picha kwa hisani ya Father Kidevu.
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa
MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.
Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi
10 years ago
Vijimambo15 Jan
Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2589846/highRes/922250/-/maxw/600/-/2uflcb/-/dk+slaa.jpg)
Hai. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.
Dk Slaa ambaye ni shahidi wa nane wa upande wa mashitaka, alitoa ushahidi huo...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Mtuhumiwa kesi kumng’ata yaya atinga kortini
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata
MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...