DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), amewasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akipinga uamuzi uliompa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Taasisi ya Teknolojia Tanzania (DIT), Benedict Ngonyani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Dec
DPP apinga dhamana ya raia 3 wa China
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amewasilisha hati ya kupinga ombi la dhamana ya raia watatu wa China, wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mahakama yakusudia kumpa dhamana aliyemzushia Jenerali Mwamunyange
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, inaangalia mwelekeo wa kumpa dhamana mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani, anayetuhumiwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, amelishwa sumu.
Hayo yalidaiwa jana mahakamani hapo, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikitajwa na upande wa Jamhuri na kudai kuwa upelelezi haujakamilika.
Hakimu Mkazi Respicius Mwijage, aliahirisha kesi hiyo...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Ponda apinga uamuzi wa DPP
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda ameiomba mahakama kutupilia mbali pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya ombi lake la marejeo. Alidai hayo jana mbele ya Jaji Augustine Mwarija wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupitia kwa Wakili wake, Juma Nassoro.
10 years ago
Habarileo21 Jan
Mtuhumiwa wa Escrow apata dhamana
MENEJA Misahama ya Kodi TRA, Kyabukoba Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kupokea rushwa ya Sh bilioni 2 ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
9 years ago
Mtanzania11 Nov
DPP aendelea kushikilia dhamana ya mwanafunzi DIT
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameeleza kwamba sababu zake za kuzuia dhamana kwa anayetuhumiwa kutoa taarifa za uongo kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamnyange amelishwa sumu, bado zinaendelea.
Mtuhumiwa huyo ni mwanafunzi wa Chuo cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Benedict Ngonyani
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Theophil Mutakyawa, alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage.
Aliyasema...
11 years ago
Habarileo02 May
Watendaji DPP Z’bar wataka dhamana ifutwe kwa wabakaji
WANASHERIA kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP) wametaka Serikali kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji kwa lengo la kupunguza matukio hayo ambayo yamekuwa yakidhalilisha watoto ikiwemo wanawake na wanaume.
10 years ago
Habarileo21 Aug
DPP aruhusu kesi ya Mvietnam kuendelea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imepata hati kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), kuendelea kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia wa Vietnam, Lyan Dong.
10 years ago
Habarileo06 Dec
Maombi ya DPP kesi ya Lwakatare yatupwa
KESI ya ugaidi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Rufaa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuomba marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyompa ushindi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, imetupiliwa mbali kutokana na kuwepo kwa upungufu wa kisheria.
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe