DPP aruhusu kesi ya Mvietnam kuendelea
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imepata hati kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), kuendelea kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia wa Vietnam, Lyan Dong.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Jaji aruhusu kesi ya 50 cent kundelea
10 years ago
Habarileo06 Dec
Maombi ya DPP kesi ya Lwakatare yatupwa
KESI ya ugaidi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Rufaa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuomba marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyompa ushindi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, imetupiliwa mbali kutokana na kuwepo kwa upungufu wa kisheria.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
DPP awafutia kesi watuhumiwa viungo vya binadamu
WAHADHIRI wanne wa Chuo Kikuu cha Tiba cha IMTU, Mbezi Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na makosa mawili, likiwemo la kushindwa kufukia viroba 83...
10 years ago
Habarileo27 Sep
Wabunge wapinga kesi za rushwa kupitia kwa DPP
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ipewe meno ya kushughulikia rushwa kubwa na wahujumu uchumi na wenyewe wapeleke watuhumiwa wao moja kwa moja kortini.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
DPP apinga mtuhumiwa kesi ya Mwamunyange kupewa dhamana
10 years ago
Habarileo21 Nov
Kesi ya Ponda kuendelea Novemba 27
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha hukumu inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Shehe Issa Ponda hadi Novemba 27 mwaka huu. Hukumu hiyo ilikuwa itolewe jana.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kesi ya Ekelege kuendelea leo
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Kesi ya Morsi kuendelea Misri
11 years ago
Habarileo23 Apr
Kesi ya akina Mramba kuendelea leo
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, itaendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.