Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Ponda kuendelea Novemba 27

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha hukumu inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Shehe Issa Ponda hadi Novemba 27 mwaka huu. Hukumu hiyo ilikuwa itolewe jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hukumu ya Sheikh Ponda Novemba 27

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,  jana iliahirisha kutoa hukumu ya rufaa iliyofunguliwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda hadi Novemba 27.

 

9 years ago

StarTV

Mahakama yaiahirisha Hukumu Ya Ponda hadi Novemba 30, 2015

Hukumu iliyotarajiwa kutolewa kwa katibu wa Jumuiya na taasisi za kiislamu Tanzania Sheikh Issa Ponda Issa imeshindwa kusomwa baada ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro Mary Moyo kutoikamilisha kutokana na kuwa nje ya Mkoa kikazi.

Akitoa maelekezo mbele ya Mawakili wa Serikali Sunday Hyera, Benard Kongola na wengine kutoka upande wa utetezi Juma Nassoro na Bathoromew Tarimo, Hakimu Rwehumbiza ameiambia mahakama kuwa yeye amekabidhiwa jalada la Kesi hiyo kutoka kwa Moyo na hukumu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya Ponda kusikilizwa leo

Kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, inaendelea kusikilizwa leo kwa shahidi wa tatu kutoa ushahidi wake.

 

10 years ago

GPL

SHEIKH PONDA ASHINDA KESI

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda ameshinda kesi ya jinai ya kuingilia eneo la ardhi ya Agritanza Ltd, japo amerudishwa Segerea kwa kuwa bado ana kesi nyingine inayomkabili. Hukumu ya kesi hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Augustine Shangwa huku Sheikh Ponda akitetewa na Wakili wake Juma Nassoro. Sheikh Ponda bado anakabiliwa na kesi ya uchochezi ya mkoani...

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Shehe Ponda yakwama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro leo imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda. Kesi hiyo haikuanza kusikilizwa, kutokana na jalada halisi kutorejeshwa kwenye mahakama hiyo kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda yapigwa kalenda

Shehe Ponda Issa PondaKESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo kwa sasa ipo kwenye hatua ya utetezi haikuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani hapa, baada ya hakimu anayesikiliza kesi hiyo kutofika mahakamani hapo jana.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda kunguruma Februari 16

KESI inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Shehe Ponda Issa Ponda jana imeahirishwa hadi Februari 16, mwaka huu kwa mashahidi wa upande wa mashitaka kuendelea kutoa ushahidi mahakamani.

 

10 years ago

GPL

SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam Novemba 27, 2014  imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya kuona hana hatia dhidi ya kesi ya madai ya Ardhi ya Agrekanza inayomilikiwa na Afidhi Self  iliyokuwa inamkabili.

 

9 years ago

Habarileo

Hukumu kesi ya Shehe Ponda leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani hapa leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya jinai inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda. Hukumu hiyo iliahirishwa kutolewa Oktoba 19, mwaka huu baada ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Mary Moyo kushindwa kukamilisha kuiandika kutokana na matatizo ya kiafya yaliyokuwa yakimkabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani