Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hukumu ya Sheikh Ponda Novemba 27

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,  jana iliahirisha kutoa hukumu ya rufaa iliyofunguliwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda hadi Novemba 27.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mahakama yaiahirisha Hukumu Ya Ponda hadi Novemba 30, 2015

Hukumu iliyotarajiwa kutolewa kwa katibu wa Jumuiya na taasisi za kiislamu Tanzania Sheikh Issa Ponda Issa imeshindwa kusomwa baada ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro Mary Moyo kutoikamilisha kutokana na kuwa nje ya Mkoa kikazi.

Akitoa maelekezo mbele ya Mawakili wa Serikali Sunday Hyera, Benard Kongola na wengine kutoka upande wa utetezi Juma Nassoro na Bathoromew Tarimo, Hakimu Rwehumbiza ameiambia mahakama kuwa yeye amekabidhiwa jalada la Kesi hiyo kutoka kwa Moyo na hukumu ya...

 

9 years ago

GPL

MAHAKAMA MORO YAAHIRISHA HUKUMU YA SHEIKH PONDA

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Morogoro, leo imeahirisha kutoa hukumu katika kesi ya jinai Na.128/2013 inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda. Hukumu hiyo imeahirishwa hadi Novemba 18, mwaka huu baada ya Hakimu Mkazi Mary Moyo aliyetarajiwa kutoa hukumu hiyo kuwa na matatizo ya kiafya. Taarifa hiyo imeonekana kuwaudhi watu...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Ponda kuendelea Novemba 27

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha hukumu inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Shehe Issa Ponda hadi Novemba 27 mwaka huu. Hukumu hiyo ilikuwa itolewe jana.

 

9 years ago

Habarileo

Hukumu kesi ya Shehe Ponda leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani hapa leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya jinai inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda. Hukumu hiyo iliahirishwa kutolewa Oktoba 19, mwaka huu baada ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Mary Moyo kushindwa kukamilisha kuiandika kutokana na matatizo ya kiafya yaliyokuwa yakimkabili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maskini Sheikh Ponda

JITIHADA za Sheikh Ponda Issa Ponda, kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ifanyie marejeo uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro Oktoba mosi mwaka jana, zimegonga mwamba...

 

9 years ago

Habarileo

Hukumu ya Shehe Ponda yapigwa kalenda tena

HUKUMU ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shekhe Ponda Issa Ponda, imeshindwa kutolewa jana kutokana na Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Mary Moyo kuwa mkoani Dodoma kwa shughuli za kikazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ombi la Sheikh Ponda ‘latupwa’

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuitaka isimamishe kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro hadi itakapotoa uamuzi wa rufaa yake.

 

9 years ago

Mtanzania

Sheikh Ponda: Nitaendelea kupambana

Pg 1Na Ramadhan Libenanga, Morogoro

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameachiwa huru baada ya kukaa mahabusu kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili.

Hata hivyo baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, Sheikh Ponda amesema licha ya kuachiwa ataendelea kupambana kupigania haki za Waislamu nchini.

Katika mazungumzo yake, Sheikh Ponda alisema amesikitishwa na kitendo cha Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuchelewesha haki yake...

 

10 years ago

GPL

SHEIKH PONDA ASHINDA KESI

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda ameshinda kesi ya jinai ya kuingilia eneo la ardhi ya Agritanza Ltd, japo amerudishwa Segerea kwa kuwa bado ana kesi nyingine inayomkabili. Hukumu ya kesi hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya Jaji Augustine Shangwa huku Sheikh Ponda akitetewa na Wakili wake Juma Nassoro. Sheikh Ponda bado anakabiliwa na kesi ya uchochezi ya mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani