Ombi la Sheikh Ponda ‘latupwa’
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeyatupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuitaka isimamishe kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro hadi itakapotoa uamuzi wa rufaa yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Mar
Ombi la Shekhe Ponda latupwa
Flora Mwakasala MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la mapitio lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kwa kuwa limewasilishwa kinyume cha sheria.
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Mahakama Kuu yatupa ombi la Sheikh Ponda
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kufanya mapitio ya uamuzi wa Mahakama ya...
11 years ago
Habarileo13 May
Ombi la Mbunge wa Bahi latupwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali ombi la Mbunge Bahi, Omary Badwell (CCM), la kusitishwa kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni nane inayomkabili.
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Ombi la kusimamisha uchaguzi Burundi latupwa
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ombi la Shekhe Ponda kusikilizwa Machi 26
OMBI la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda, litasikilizwa Machi 26 mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam.
11 years ago
Habarileo18 Mar
Korti kuamua hatma ya ombi la Shekhe Ponda
HATIMA ya ombi la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda itajulikana leo wakati Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali. Jaji Augustine Mwarija anatarajia kutoa uamuzi huo, kutokana na pingamizi la awali, lililowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), akidai kuwa ombi hilo halina msingi kisheria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvEGlM0woBU4wwtM9PM3oWP-HhOh3E4lgKy9i2EDG2BKc-WGPh9dMVovuJ48EREzEXemFeK9gvThtGg669jnhhoK/BREAKINGNEWS.gif)
OMBI LA PONDA LATUPILIWA MBALI, ARUDISHWA SEGEREA
11 years ago
Habarileo10 Dec
Ombi la Shekhe Ponda kutolewa maamuzi leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itatoa uamuzi wa kusikiliza au kukataa ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda.
11 years ago
Habarileo03 Jun
DPP aiomba Mahakama Kuu kutupa ombi la Ponda
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali ombi la Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Shekhe Issa Ponda kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.