DPP aiomba Mahakama Kuu kutupa ombi la Ponda
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali ombi la Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Shekhe Issa Ponda kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Mahakama Kuu yatupa ombi la Sheikh Ponda
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kufanya mapitio ya uamuzi wa Mahakama ya...
9 years ago
Habarileo22 Oct
Mahakama Kuu yaombwa kutupa ‘kesi ya meta 200’
MW A N A S H E R I A Mkuu wa Serikali (AG) ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutupilia mbali kesi ya kikatiba kuhusu haki ya wananchi kukaa meta 200 kutoka katika kituo cha kupigia kura. Kesi hiyo ilianza kusikilizwa jana mbele ya jopo la majaji Sakieti Kihiyo, Aloysius Mujulizi na Lugano Mwandambo.
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Sheikh Ponda akwama Mahakama Kuu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3Oflt4SOO*O7aUCAFGbxBSKZ0VSCCMTboCWY6aL7Ch35fEsXt5P6MonuGT0u6hxesr6uywp-rLD3YRy2eGn2gXN/SupremeCourt822x280.jpg?width=650)
MAHAKAMA KUU KENYA YAKUBALI OMBI LA VYAMA VYA MASHOGA KUSAJILIWA
10 years ago
GPLMAHAKAMA KUU YAMUACHIA HURU SHEIKH PONDA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cslv_PWmcrE/UyhmijxUFhI/AAAAAAAFUjk/ZUp12fONrl0/s72-c/download+(1).jpg)
mahakama kuu yafuta tena maombi ya sheikh ponda kuodolewa shitaka la kukaidi amri halali
![](http://3.bp.blogspot.com/-cslv_PWmcrE/UyhmijxUFhI/AAAAAAAFUjk/ZUp12fONrl0/s1600/download+(1).jpg)
11 years ago
Habarileo19 Mar
Ombi la Shekhe Ponda latupwa
Flora Mwakasala MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la mapitio lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kwa kuwa limewasilishwa kinyume cha sheria.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Ombi la Sheikh Ponda ‘latupwa’
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ombi la Shekhe Ponda kusikilizwa Machi 26
OMBI la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda, litasikilizwa Machi 26 mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam.