Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA KUU KENYA YAKUBALI OMBI LA VYAMA VYA MASHOGA KUSAJILIWA

Mahakama Kuu ya Kenya. Katika hatua ya kushitua, Mahakama Kuu nchini Kenya imesalimu amri mbele ya mashinikizo ya watetezi wa vitendo vichafu vya ulawiti, usagaji, ushoga na kusema kuwa sasa watu wanaojihusisha na vitendo hivyo vya uasherati wanaweza kusajili mashirika ya kile kinachodaiwa ni kutetea haki zao za kibinadamu. Majaji watatu wa mahakama hiyo wameiamuru Bodi ya Kusimamia Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs)...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama Kuu yatupa ombi la Sheikh Ponda

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kufanya mapitio ya uamuzi wa Mahakama ya...

 

11 years ago

Habarileo

DPP aiomba Mahakama Kuu kutupa ombi la Ponda

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali ombi la Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Shekhe Issa Ponda kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kijifunze vilipo vyama vya ukombozi vya Kenya, Malawi na Zambia

Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kutoa kauli kadhaa za kuonya, kufundisha na kukaripia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jaji Kiongozi atoa somo kwa watumishi wa mahakama, vyama vya waajiri na waajiriwa

Mahakama - 1

Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akifungua mkutano maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA) leo jijini Dar es salaam. Mkutano huo unalenga kuangalia na kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali zinazohusu maslahi ya wafanyakazi na mashauri yanayopelekwa mahakama Kuu Divisheni ya Kazi nchini.

Mahakama - 5

Jaji Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua...

 

5 years ago

Michuzi

Mahakama Kuu ya Kenya yatoa amri ya kusitishwa ndege zote kutoka China

Rais Uhuru Kenyatta
Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.

Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.

Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini...

 

5 years ago

CCM Blog

MAHAKAMA KUU YA KENYA YATOA AMRI KUSITISHWA SAFARI ZA NDEGE KUTOKA CHINA

  Mahakama Kuu ya Kenya imetoa amri ya kusitishwa kwa muda ndege zote kutoka China zinazoingia katika nchi hiyo  kufuatia kesi kuhusu virusi vya Corona iliyowasilishwa na chama cha mawakili wa nchi hiyo.
Amri hiyo ya Mahakama Kuu ya Kenya inataka kusitishwa kuingia nchini humo ndege kutoka China kwa kipindi cha siku kumi.
Akitoa hukumu yake leo Jaji James Makau ameziagiza Wizara ya Usalama wa Ndani na ya Afya kuwatafuta abiria wote 239 waliowasili nchini Kenya kutoka China kupitia uwanja wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mahakama kuu ya Kenya imeagiza kusitishwa kwa ndege zote kutoka China

Mahakama kuu pia imetoa agizo la kutafutwa na kuzuiliwa mahali pamoja kwa abiria wote 239 waliowasili nchini kutoka China.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakubali Nkurunziza agombee

Mahakama ya katiba ya Burundi imempa idhini rais Pierre Nkurunziza nafasi ya kuwania muhula wa tatu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani