Kesi ya akina Mramba kuendelea leo
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, itaendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo
11 years ago
Habarileo18 Jul
Kesi ya akina Mramba Septemba 9
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, inatarajia kuendelea kusikilizwa Septemba 9 hadi 12 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo04 Jul
Hukumu dhidi ya akina Mramba yapigwa kalenda
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wenzake imeahirishwa kwa mara ya pili kwa sababu hakimu anaumwa.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kesi ya Ekelege kuendelea leo
9 years ago
Habarileo03 Oct
Jaji ashangaa akina Mramba kupewa adhabu ndogo
JAJI Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ameelezea kushangazwa na sheria za Tanzania, kwa kutoa adhabu ndogo kwa mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, ikilinganishwa na kiasi cha fedha walichosababisha hasara.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kina Mramba kuendelea kujitetea
11 years ago
MichuziKESI YA MRAMBA YAPIGWA KALENDA
Mapema mwaka jana Jopo la mahakimu watatu linalosikiliza kesi hiyo, likiongozwa na Jaji John...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Ushahidi kesi ya Mramba wafutwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta ushahidi wa aliyekuwa Kamishna wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Felesian Msigala, uliokuwa umetolewa mahakamani hapo kwa ajili ya kumtetea aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba.
11 years ago
Habarileo17 Apr
Hakimu achoshwa na Jamhuri kesi ya akina Mattaka
HAKIMU Mkazi Augustina Mmbando amesema upande wa Jamhuri unamkwaza kwa kitendo cha kuchelewesha kesi ya kulisababishia Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) hasara ya Dola 143,442.75 za Marekani, inayomkabili Mkurugenzi mstaafu wa kampuni hiyo David Mattaka na wenzake.