Ushahidi kesi ya Mramba wafutwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta ushahidi wa aliyekuwa Kamishna wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Felesian Msigala, uliokuwa umetolewa mahakamani hapo kwa ajili ya kumtetea aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Jun
USHAHIDI WA SHAHIDI WA MRAMBA WAFUTWA
MAWAKILI wa utetezi wa Waziri wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, wameondoa mahakamani ushahidi wa Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Felician Busigara, baada ya kuzua mvutano kati ya mawakili wa pande zote mbili kwamba ushahidi wa shahidi huo ulikuwa wa kitaalamu na siyo dhidi ya mashitaka yaliyopo mahakamani. Mbali na Mramba, washtakiwa wengine ni Waziri wa Zamani, Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’
11 years ago
MichuziKESI YA MRAMBA YAPIGWA KALENDA
Mapema mwaka jana Jopo la mahakimu watatu linalosikiliza kesi hiyo, likiongozwa na Jaji John...
11 years ago
Habarileo18 Jul
Kesi ya akina Mramba Septemba 9
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, inatarajia kuendelea kusikilizwa Septemba 9 hadi 12 mwaka huu.
10 years ago
GPLKESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU
11 years ago
Habarileo23 Apr
Kesi ya akina Mramba kuendelea leo
KESI ya matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake, itaendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo04 Jul
KESI YA MRAMBA NA WENZAKE KUSIKILIZWA JUMATATU
Basili Mramba,Daniel Yona,Agrey Mgonja mwingine hakufahamika jina lake wakijadili jambo kabla ya kusomewa hukumu yao ambayo imeahirishwa mpaka tarehe 6 mwezi wa 7.
Daniel Yona, Agrey Mgonja wakisubiria hatima ya kesi yao inayowakabili katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Ndugu na jamaa waliofika mahakamani hapo kusikiliza hukumu hiyo.
Mramba na wenzake wakijadili kabla ya hukumu yao ambayo imeahirishwa tena
Kesi ya matumizi mabaya ya fedha za serikali ya...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ushahidi kesi ya Mbasha Agosti 22