USHAHIDI WA SHAHIDI WA MRAMBA WAFUTWA
Na Mwene Said,
wa Globu ya Jamii Mahakamani
MAWAKILI wa utetezi wa Waziri wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, wameondoa mahakamani ushahidi wa Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Felician Busigara, baada ya kuzua mvutano kati ya mawakili wa pande zote mbili kwamba ushahidi wa shahidi huo ulikuwa wa kitaalamu na siyo dhidi ya mashitaka yaliyopo mahakamani.
Mbali na Mramba, washtakiwa wengine ni Waziri wa Zamani, Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Jun
Ushahidi kesi ya Mramba wafutwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta ushahidi wa aliyekuwa Kamishna wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Felesian Msigala, uliokuwa umetolewa mahakamani hapo kwa ajili ya kumtetea aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Mramba apunguza shahidi mmoja
WAZIRI wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, anayekabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya sh bilioni 11.7, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda
9 years ago
Habarileo29 Oct
Uchaguzi Z’bar wafutwa, kurudiwa
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza kufuta matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumapili iliyopita baada ya kubainika kujitokeza kwa kasoro nyingi, zilizosababisha kukiukwa kwa sheria za uchaguzi na haki kushindwa kutendeka.
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mkutano wa Nobel A.Kusini wafutwa
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Wanajeshi wa Marekani wafutwa kazi
10 years ago
Habarileo22 Oct
Ualimu ngazi ya cheti wafutwa
SERIKALI imefuta rasmi mafunzo ya ualimu ngazi ya Cheti yaliyokuwa yakitolewa katika Vyuo vya Ualimu Daraja la A vilivyopo sehemu mbalimbali nchini. Kufuatia kufutwa kwa mafunzo ya cheti, watakaochukuliwa kwa ajili ya masomo ya ualimu kwenye vyuo vya ualimu wa diploma ni waliopata daraja la tatu na kuendelea na watakapohitimu mafunzo ya miaka miwili ya Diploma (Stashahada) ya ualimu watapangiwa kufundisha kuanzia shule za awali za serikali, msingi na sekondari.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFW9xmnGx23P5cYmVKmVbFGiJZsAMaWxFKjyT2A7pcXaBZO72eaVkSwvzFTCUpV0qVThZLJjriwbzgwHnQnhlPus/Picture2058.jpg?width=650)
UPINZANI WAFUTWA RASMI MWANZA