Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi

Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa jumuiya na taasisi za kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na upande wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda

>Kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, imeanza kusikilizwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro na shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Morogoro, Sadick Tindwa, ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kutoa ushahidi wake kwa zaidi ya saa mbili.

 

10 years ago

Mtanzania

Kamanda Shilogile atoa ushahidi kesi ya Ponda

ponda1Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustin Shilogile, amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Morogoro kutoa ushahidi dhidi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda Issa.
Shilogile alipanda kizimbani jana ambako katika kutoa ushahidi wake aliongozwa na wakili wa serikali, Juma Nosor.
Akimuongoza Shilogile katika kutoa ushahidi wake, Nasoro alianza kwa kumuhoji: Umekuja mahakamani kufanya nini leo...

 

10 years ago

Habarileo

Video yatumika ushahidi kesi ya Ponda

Shehe Ponda Issa PondaUPANDE wa Mashikata kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha ushahidi muhimu wa mkanda wa video unaodaiwa kuonesha uhalisia wa tukio zima la kesi yake inayomkabili ya kutoa maneno ya uchochezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa

Upande wa mashtaka katika kesi ya jinai inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, umefunga ushahidi wao baada ya kupeleka mashahidi tisa.Shahidi wa mwisho wa upande wa mashtaka askari E.9295 D/CPL, Juma Koroto kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(RCO), Morogoro ambaye alikuwa mpelelezi wa kesi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi

Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe atoa ushahidi kesi ya shambulio.


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (53), anayekabiliwa na kesi ya shambulio dhidi ya mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, ameileza mahakama kwamba alilazimika kumtoa nje kwa nguvu nje ya kituo cha kura, Nasir Uronu, kwa madai kuwa alikuwa na utambulisho bandia ambao hautambuliki na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) isipokuwa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata).

Akitoa...

 

10 years ago

Vijimambo

Siro Atoa Ushahidi Kesi ya Profesa Lipumba


MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.Siro aliyaeleza hayo juzi mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.

Alidai Januari 23 mwaka huu walipokea barua ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Siro atoa ushahidi kesi ya Profesa Lipumba

Kamanda+Simon+SiroNa Grace Shitundu, Dar es Salaam

MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa tishio la ugaidi.

Siro aliyaeleza hayo jana mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Cyprian Mkeha, akiwa shahidi wa upande wa mashtaka.

Alidai Januari 23...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Slaa atoa ushahidi, azungumza na mtuhumiwa baada ya kesi

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa (kushoto) akizungumza na Abeid Adam Abeid nje ya Mahakama ya Wilaya ya Hai jana. Picha na Dionis Nyato
Hai. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa ameiambia Mahakama ya Wilaya ya Hai kuwa Abeid Adam Abeid (22) aliyejifanya ni Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta, alijitambulisha kwake ni Ofisa wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Ulanga Abeid Kibasa.

Dk Slaa ambaye ni shahidi wa nane wa upande wa mashitaka, alitoa ushahidi huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani