Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi
Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mawakili wakwamisha kesi ya Ponda kusikilizwa
10 years ago
Habarileo10 Feb
Video yatumika ushahidi kesi ya Ponda
UPANDE wa Mashikata kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha ushahidi muhimu wa mkanda wa video unaodaiwa kuonesha uhalisia wa tukio zima la kesi yake inayomkabili ya kutoa maneno ya uchochezi.
10 years ago
Mtanzania10 Feb
Kamanda Shilogile atoa ushahidi kesi ya Ponda
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
ALIYEKUWA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustin Shilogile, amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Morogoro kutoa ushahidi dhidi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda Issa.
Shilogile alipanda kizimbani jana ambako katika kutoa ushahidi wake aliongozwa na wakili wa serikali, Juma Nosor.
Akimuongoza Shilogile katika kutoa ushahidi wake, Nasoro alianza kwa kumuhoji: Umekuja mahakamani kufanya nini leo...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK42oUteHb0J2R0jMgCzYQxosZIalUNhCGgmR8SeA6S9K8WScbFyg2gE2D3Cr6qfdpr9q34iSgQk2wBRM5MVePE*/BREAKINGNEWS.gif)
SHEIKH PONDA ASHINDA KESI
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda
11 years ago
Habarileo01 May
Kesi ya Sheikh Ponda yakwama tena
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro kwa mara nyingine jana, imeshindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Taasisi na Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa, kutokana na jadala la kesi hiyo, ambalo liko Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kutorejeshwa mahakamani hapo.
10 years ago
GPL28 Nov
SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI