Mawakili wakwamisha kesi ya Ponda kusikilizwa
Kesi inayomkabili katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekh Ponda Issa Ponda jana ilishindikana kusikilizwa, huku mawakili wa pande mbili za mashtaka na utetezi wakivutana kuhusu haki ya mshtakiwa kupewa dhamana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Kesi ya Ponda kusikilizwa leo
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kesi ya Ponda yakwama tena kusikilizwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro jana ilishindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda kutokana na mgongano wa kiutawala na kukosekana kwa nakala ya hukumu ya rufaa iliyompa ushindi Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkSDUgrMq4o/Uw4OLTH4xfI/AAAAAAAFP1c/UunTmJEISNI/s72-c/TZ_-Cleric.jpg)
KESI YA SHEIK PONDA KUSIKILIZWA TENA MACHI 3,2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkSDUgrMq4o/Uw4OLTH4xfI/AAAAAAAFP1c/UunTmJEISNI/s1600/TZ_-Cleric.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Augustino Mwarija baada ya...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
10 years ago
Habarileo11 Mar
Mawakili wa Ponda waibua mapya
UPANDE wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha hoja zitakazoifanya Mahakama kutoona sababu kwa mshitakiwa huyo kuwa na kesi ya kujitetea.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ombi la Shekhe Ponda kusikilizwa Machi 26
OMBI la marejeo lililowasilishwa na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda, litasikilizwa Machi 26 mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam.
10 years ago
Mtanzania18 May
Kesi ya Wakenya kusikilizwa Arusha
Na Mtua Salira, EANA
KESI ya mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha inayowakabili raia wa Kenya waliotiwa mbaroni nchini Msumbiji na kuhamishiwa Tanzania miaka tisa iliyopita, itasikilizwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) Arusha Mei, 21, 2015.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mahakama hiyo mjini hapa jana, ilisema kesi hiyo ijulikanayo kama Onyango na wenzake tisa, wanadaiwa kutenda makosa hayo mjini Moshi na itasikilizwa kwa siku moja.
Wakenya hao...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino
Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.
Na Modewjiblog team, Mwanza
Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.
Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...