Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino
Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.
Na Modewjiblog team, Mwanza
Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.
Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 May
INSPEKTA WA POLISI ATOA USHAHIDI KESI YA ALBINO MWANZA
SHAHIDI wa sita katika kesi ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Mkaguzi wa Polisi (Inspector) David Mhanaya, ameanza kutoa ushahidi wake leo hii katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza.
Mbele ya Jaji Robert Makaramba anayesikiliza Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014, shahidi huyo ametumia siku nzima kutoa ushahidi wake akiongozwa na mawakili wa serikali Emil Kiria, Esther Majaliwa na Robert Kilando.
Hata hivyo, Jaji Makaramba aliahirisha kesi hiyo hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS5nzfirdvs/VVInmQHp1yI/AAAAAAAHW4Y/Ihqa59XtwuQ/s72-c/mwanza_town.jpg)
INSPEKTA WA POLISI AANZA KUTOA USHAHIDI KESI YA ALBINO MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS5nzfirdvs/VVInmQHp1yI/AAAAAAAHW4Y/Ihqa59XtwuQ/s640/mwanza_town.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Kesi 82 zafutwa kwa kukosa ushahidi
KESI 82 zilizokaa muda mrefu zimefutwa mkoani Kagera kwa kukosa ushahidi wa kutosha katika kipindi cha mwaka 2012/2013. Akizungumza wakati wa sherehe za Siku ya Sheria nchini, jana Mwanasheria Mfawidhi wa...
10 years ago
GPLFLORA ATOA USHAHIDI KESI YA MBASHA KWA SIRI
10 years ago
Habarileo23 Mar
Wasabato walaani ukatili kwa albino
KANISA la Waadventista Wasabato Nyanda za Juu Kusini, limelaani visa vya kikatili wanavyotendewa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), ikiwemo kukatwa viungo vyao na kuuawa, likisema watu wanaowatendea uovu huo wamelaaniwa na Mungu.
10 years ago
Habarileo24 Jun
Kamani: Nitakomesha ukatili kwa albino
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani anayewania urais wa Tanzania kupitia CCM, amemaliza kutafuta wadhamini katika mikoa 15 nchini, huku akitaja moja ya vipaumbele vyake ni kupambana na wote wenye imani za kishirikina ambazo zinawafanya waue watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU