Mawakili wa Ponda kushughulikiwa
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuomba kufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Mar
Mawakili wa Ponda waibua mapya
UPANDE wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha hoja zitakazoifanya Mahakama kutoona sababu kwa mshitakiwa huyo kuwa na kesi ya kujitetea.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Mawakili wakwamisha kesi ya Ponda kusikilizwa
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi
9 years ago
Habarileo17 Sep
JK: Deni PSPF kushughulikiwa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Watendaji Buhigwe kushughulikiwa
SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa
SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa