Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakili wa Ponda kushughulikiwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuomba kufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mawakili wa Ponda waibua mapya

Shehe Ponda Issa PondaUPANDE wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha hoja zitakazoifanya Mahakama kutoona sababu kwa mshitakiwa huyo kuwa na kesi ya kujitetea.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili wakwamisha kesi ya Ponda kusikilizwa

Kesi inayomkabili katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekh Ponda Issa Ponda jana ilishindikana kusikilizwa, huku mawakili wa pande mbili za mashtaka na utetezi wakivutana kuhusu haki ya mshtakiwa kupewa dhamana.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi

Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.

 

9 years ago

Habarileo

JK: Deni PSPF kushughulikiwa

RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Buhigwe kushughulikiwa

SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa

SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...

 

9 years ago

BBCSwahili

UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa

Umoja wa mataifa umeelezea masikitiko jinsi mataifa ya bara Ulaya yanavyozingatia sheria zinazohusiana na mipaka yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani