Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urasimu bandarini Mombasa kushughulikiwa

Watumiaji wa bandari ya Mombasa nchini Kenya huenda wakawa na afueni, kufuatia mkataba wa kupunguza urasimu utakaosainiwa leo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa Tancis wasaidia kuondoa urasimu, wizi bandarini

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mpya wa forodha wa kielektroniki (Tancis) umesaidia kuondoa urasimu na wizi wa makontena Bandarini. Ofisa Mwandamizi wa TRA, Felix Tinkasimile, alisema hayo katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wazuilia meli bandarini Mombasa

Polisi nchini Kenya wanakagua meli inayoshukiwa kubeba dawa za kulevya katika bandari ya Mombasa baada ya operesheni iliyotekelezwa usiku wa manane.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Buhigwe kushughulikiwa

SERIKALI imeliagiza Baraza la Madiwani la Wilaya ya Buhigwe, kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri hiyo walioshindwa kutekekeleza agizo la kupanda miti. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Ofisi ya...

 

9 years ago

Habarileo

JK: Deni PSPF kushughulikiwa

RAIS Jakaya Kikwete amezindua ghorofa pacha la Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali (PSPF) na kuahidi kushughulikia tatizo la deni la serikali. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa jengo hilo la ghorofa 35 jijini Dar es Salaam jana, Kikwete alisema anafahamu changamoto za mifuko ya jamii, ikiwamo PSPF.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawakili wa Ponda kushughulikiwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ya kuomba kufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

9 years ago

BBCSwahili

UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa

Umoja wa mataifa umeelezea masikitiko jinsi mataifa ya bara Ulaya yanavyozingatia sheria zinazohusiana na mipaka yake

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wanaofuja mali kushughulikiwa

SERIKALI itaendelea kuchukua hatua za kinidhamu na kisheria kwa watumishi wanaondelea kufuja mali za umma kinyume cha taratibu zilizopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi kushughulikiwa

SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani