Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi kushughulikiwa

SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALAAA! HUYU NDIYE MDADA ANAYEAMBUKIZA UKIMWI KWA MAKUSUDI

Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'

Martha Anne Bwore mwanaharakati anayepinga uavyaji mimba nchini Kenya azungumzia hofu na mahangaiko aliyoyapitia yeye na wasichana wengine.

 

9 years ago

Global Publishers

Ray C, kama ni kweli unamuaibisha JK kwa makusudi

ray-c1 (1) Rehema Chalamila Ray C.

MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha kulitaja kwa kujiamini kabisa jina la Rehema Chalamila, ambaye mashabiki wanamtambua zaidi kama Ray C.

Alifanya kazi kubwa, siyo tu kuonesha kuwa wanawake wanaweza, bali pia kuthibitisha kiasi kikubwa cha ubora wake katika tungo, uimbaji na zaidi, uwezo wa kutumia mwili wake kuvutia mashabiki kwa kuonesha manjonjo jukwaani.

Jambo hili lilisababisha kupata wafuasi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete akemea wanaoambukiza vvu

Rais Jakaya Kikwete amezitaka taasisi binafsi kushirikiana na Serikali katika kampeni ya kutokomeza maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI


Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu  kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha  Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

HII NI MAKUSUDI KABISA

Pichani kulia gari yenye namba za usajili T545 DBR ikivunja sheria za barabarani kwa makusudi kabisa katika makutano ya barabara eneo la Manyanya Kinondoni jijini Dar jioni ya leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Ujerumani iliangushwa makusudi

Rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA UJERUMANI ILIANGUSHWA MAKUSUDI {UBUYU}


Rubani Andreas Lubitz


Rubani wa ndege ya kampuni ya Germanywings ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo kulingana na maafisa wa Ufaransa.Kiongozi wa mashtaka katika mji wa Mersaille ,Brice Robin, akizungumza kulingana na habari aliyopata katika kijisanduku cha kunasa sauti katika ndege amesema kuwa rubani huyo alikuwa ndani ya chumba cha kuendesha ndege pekee.Rubani huyo kimakusudi aliishusha ndege hiyo kwa kasi huku rubani mwenza akiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukimwi kwa vichanga; changamoto kubwa kwa jamii

>Ni mapema asubuhi katika kibaraza cha Hospitali ya Wilaya ya Tanga iliyoko Ngamiani, makumi ya kinamama wajawazito wameanza kuchukua nafasi katika benchi la kuingia katika chumba cha ushauri nasaha na upimaji wa virusi vya Ukimwi (VVU) kabla ya kuendelea na huduma nyingine za uzazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani