Wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi kushughulikiwa
SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aU4j4N5Xa8A/VIgE3hvIwQI/AAAAAAAABFA/lV44-qrHwgM/s72-c/abuja6.jpg)
BALAAA! HUYU NDIYE MDADA ANAYEAMBUKIZA UKIMWI KWA MAKUSUDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aU4j4N5Xa8A/VIgE3hvIwQI/AAAAAAAABFA/lV44-qrHwgM/s640/abuja6.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 May
'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Ray C, kama ni kweli unamuaibisha JK kwa makusudi
Rehema Chalamila Ray C.
MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha kulitaja kwa kujiamini kabisa jina la Rehema Chalamila, ambaye mashabiki wanamtambua zaidi kama Ray C.
Alifanya kazi kubwa, siyo tu kuonesha kuwa wanawake wanaweza, bali pia kuthibitisha kiasi kikubwa cha ubora wake katika tungo, uimbaji na zaidi, uwezo wa kutumia mwili wake kuvutia mashabiki kwa kuonesha manjonjo jukwaani.
Jambo hili lilisababisha kupata wafuasi...
11 years ago
Mwananchi05 May
Kikwete akemea wanaoambukiza vvu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
MGOMO WA MADEREVA WAISHA KWA MUAFAKA WA MADAI YAO KUSHUGHULIKIWA NA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbEpVVztUro/VUjcbIJ9WII/AAAAAAAHVi0/aTb7s3giIIM/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
Na Bakari Issa MajeshiMgomo wa Madereva uliodumu kwa takriban siku moja na ushee, hatimaye umepata muafaka baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda (pichani) kufanikiwa kuusuluhisha kwa kusaini makubaliano na Uongozi wa Chama cha Madereva.Makubaliano hayo yaliitaka Serikali kuboresha Mikataba kwa Madereva, malipo kwa madereva hao, pamoja na tatizo la ukaguzi wa magari ili kuondoa usumbufu kwa madereva hao, na kuiomba Serikali kufanya ukaguzi huo kwa siku moja tu.Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3CGOd-Xlur8/VOIpukZjVNI/AAAAAAAHECI/8XLQjSxFGuI/s72-c/_MG_4665.jpg)
HII NI MAKUSUDI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3CGOd-Xlur8/VOIpukZjVNI/AAAAAAAHECI/8XLQjSxFGuI/s1600/_MG_4665.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Ndege ya Ujerumani iliangushwa makusudi
10 years ago
Vijimambo27 Mar
NDEGE YA UJERUMANI ILIANGUSHWA MAKUSUDI {UBUYU}
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326134546_andreas_lubitz_640x360_imagemretiradadotwitter_nocredit.jpg)
Rubani wa ndege ya kampuni ya Germanywings ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo kulingana na maafisa wa Ufaransa.Kiongozi wa mashtaka katika mji wa Mersaille ,Brice Robin, akizungumza kulingana na habari aliyopata katika kijisanduku cha kunasa sauti katika ndege amesema kuwa rubani huyo alikuwa ndani ya chumba cha kuendesha ndege pekee.Rubani huyo kimakusudi aliishusha ndege hiyo kwa kasi huku rubani mwenza akiwa...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Ukimwi kwa vichanga; changamoto kubwa kwa jamii