HII NI MAKUSUDI KABISA

Pichani kulia gari yenye namba za usajili T545 DBR ikivunja sheria za barabarani kwa makusudi kabisa katika makutano ya barabara eneo la Manyanya Kinondoni jijini Dar jioni ya leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Wabunge aina hii watoswe wasirejee kabisa bungeni
BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limefikia tamati mapema mwezi Julai mwaka huu, hu
Joseph Mihangwa
10 years ago
Michuzi
MAKALA YA SHERIA: GHARAMA NDOGO KABISA YA KUSAJILI KAMPUNI HII HAPA

Zipo biashara ambazo watu wengi bado wanazifanya nje ya kampuni lakini ukweli ni kuwa biashara hizo kwa ulimwengu wa...
10 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]
10 years ago
Bongo511 Dec
Roma: ‘Mwanakondoo’ ni wimbo ambao umekaa kiupako kabisa, aizungumzia single mpya atakayoiachia Ijumaa hii (Dec.12)
Roma anatarajia kuachia single mpya Ijumaa hii iitwayo ‘Mwanakondoo’, ikiwa ni zawadi kwa mashabiki wake katika siku yake ya kuzaliwa Dec.12. “Kesho ni birthday yangu (Dec.12), kwahiyo nikaona katika zile stock za ngoma za Roma tuchukue moja wapo iwe kama zawadi hivi kwa mashabiki wangu, sijawahi kufanya chochote kile kwenye birthday yangu.” Roma ameiambia Bongo5 […]
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Ndege ya Ujerumani iliangushwa makusudi
Rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa siku ya jumanne alitaka kuiharibu ndege hiyo
10 years ago
Habarileo28 Dec
Wanaoambukiza Ukimwi kwa makusudi kushughulikiwa
SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.
5 years ago
BBCSwahili20 May
'Ninajuta kutoa mimba 5 kwa makusudi'
Martha Anne Bwore mwanaharakati anayepinga uavyaji mimba nchini Kenya azungumzia hofu na mahangaiko aliyoyapitia yeye na wasichana wengine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania