Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s72-c/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Wazazi wa Mke Wangu Wamehamia Kwangu Kabisa, Nyumba imegeuka Bujumbura
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s640/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijinilakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January
Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikua na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s72-c/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
FAIDA YA URAIA PACHA - DUGU MOJA, LAKINI NCHI TAFAUTI INAWEZEKANA KABISA.....
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s1600/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAsW2ezq-LI/U6XhkWhomlI/AAAAAAAFsNA/RqpJN3djCuM/s1600/boatengs_2679756b.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 May
RAY Afunguka na Kukataa Kuhusika Kabisa na Mtoto aliye mzaa JOHARI...
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkdugucj-XNilLHFCU5HY1GwuO51wWsnL7N42IhSOlLIx0O0a*O6cZEkgH51NExBwy915OTmzeYFa9sxxEdKQjh/VincentKigosi531.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
9 years ago
Bongo528 Sep
Davido asema hana mpango kabisa wa kuoa kwa sasa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK-IsEocpntR2klz8v3kCzGyNbpTRYC9bgaWfK1A0AP9p-RJA51hpIWKYvo*tmBeaVyrA5u-Ww2a*35CobnLTveR/ray.jpg?width=650)
RAY: SINA MPANGO WA KUMUOA CHUCHU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8arF783wczZ5Kp7e0epAlJSBJslC6daDQsDb3JWp78cBYuvC0geb2PtsCoVE37EvHYBP-bwzidRW11YOX-ccqKu/rayc61.png?width=650)
RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3CGOd-Xlur8/VOIpukZjVNI/AAAAAAAHECI/8XLQjSxFGuI/s72-c/_MG_4665.jpg)
HII NI MAKUSUDI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3CGOd-Xlur8/VOIpukZjVNI/AAAAAAAHECI/8XLQjSxFGuI/s1600/_MG_4665.jpg)
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN