Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!

 Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’. Mayasa Mariwata
Yamekuwa hayo tena! Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’ yupo kwenye hofu nzito ya kutaka kuuawa kwa kile alichodai ni chuki za binadamu wasiomtakia mema. Wikiendi iliyopita Ray C alitupia ujumbe mzito mtandaoni uliosomeka: “Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee! Sitakufa bali...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHILOLE: KUNA WATU WANATAMANI KUNIUA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ambaye pia anafahamika kama Shishi Baby, amesema baadhi ya watu wana chuki naye kiasi kwamba wanatamani kumtoa roho kwa kutopenda mafanikio yake. Msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akipiga stori na gazeti hili mara baada ya ziara yake ya kimuziki barani Ulaya, Shishi Baby alisema katika mitandao...

 

11 years ago

BBCSwahili

"Wanataka kuniua", Adai Biti

Tendai Biti mwanachama mashuhuri wa upinzani Zimbabwe anasema bomu lilirushwa kwa makaazi yake

 

10 years ago

Habarileo

'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.

 

9 years ago

Bongo5

Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C

Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

Mwananchi

MAKALA: Vinyozi: Kuna watu huja kuiba nywele za wateja

>Kuna msemo usemao kuwa ‘kinyozi ndiye fundi pekee mwaminifu’ kwa kuwa hana tabia ya kufanya kazi nusu na kumwambia mteja ‘njoo kesho’.

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Awapa Makavu Wanaofatilia Maisha ya Watu Insta

Ray

Ray

Ray ameandika haya kwenye ukurasa wake Instagram.
“Kijana mwenzangu mwaka ndio huo unaisha inama tafakari nini ulichokifanya mwaka huu,je ulichokipanga kimefanikiwa kwa asilimia ngapi au kazi yako ilikuwa nikuangaika na maisha ya watu kwenye insta?
Wenzako wanapiga hatua kumi mbele wewe unapiga hatua kumi nyuma. ujachelewa achana na maisha ya watu pambana na maisha yako ..(life is all about the money.)”

Nadhani Ujumbe umefika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini

Utafiti umeonya kwamba janga la corona huenda likasababisha asilimia 8 ya idadi ya watu duniani kuwa maskini.

 

10 years ago

Bongo5

Cpwaa: Kuna umuhimu wa kurudisha ile original Bongo Fleva, watu wanaigana sana

Mfalme wa Bongo Crunk, Cpwaa amesema kuwa mwezi ujao anategemea kuachia wimbo mpya ambao utakua na ladha ya Bongo Fleva ambayo anadai wasanii wengi wameitelekeza kutokana na kuiga muziki wa Nigeria. “Cpwaa bado anafanya muziki, Cpwaa bado ni king wa bongo crunk,na safari hii nikija nakuja kuwapa kile kitu watu ambacho wamekimiss.” Cpwaa ameiambia Bongo5. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani