Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA: Vinyozi: Kuna watu huja kuiba nywele za wateja

>Kuna msemo usemao kuwa ‘kinyozi ndiye fundi pekee mwaminifu’ kwa kuwa hana tabia ya kufanya kazi nusu na kumwambia mteja ‘njoo kesho’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watu wasio na rangi ya ngozi, macho na nywele

MEI 4 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Albino Duniani. Ni siku tunayotumia kuendeleza kuhamasisha juu ya kuelewa zaidi kuwepo kwa wenzetu wasio na rangi ya ngozi, macho na nywele...

 

10 years ago

GPL

ESTER JAMANI MASTAA ACHENI KUIBA WAUME ZA WATU!

Gladness Mallya Funguka! Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake katika kiwanda cha filamu Bongo, Ester Kiama ameibuka na kuwachana mastaa wa kike wanaopenda kuiba waume za watu kwamba waache kwani si tabia nzuri. Ester Kiama. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Ester alifunguka kuwa mastaa wanaochukua waume za watu, tabia zao siyo nzuri na kibaya zaidi wakishawachukua wanajigamba ili watu wawaone wako juu mjini wakati hawana lolote....

 

10 years ago

Bongo5

Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba

Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi. Wema akiwa ndani kwake Akizungumza na Bongo5 jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya […]

 

10 years ago

GPL

SHILOLE: KUNA WATU WANATAMANI KUNIUA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ambaye pia anafahamika kama Shishi Baby, amesema baadhi ya watu wana chuki naye kiasi kwamba wanatamani kumtoa roho kwa kutopenda mafanikio yake. Msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akipiga stori na gazeti hili mara baada ya ziara yake ya kimuziki barani Ulaya, Shishi Baby alisema katika mitandao...

 

9 years ago

GPL

RAY C: KUNA WATU WANATAKA KUNIUA!

 Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’. Mayasa Mariwata
Yamekuwa hayo tena! Staa wa muziki Bongo, Rehema Chalamila `Ray C’ yupo kwenye hofu nzito ya kutaka kuuawa kwa kile alichodai ni chuki za binadamu wasiomtakia mema. Wikiendi iliyopita Ray C alitupia ujumbe mzito mtandaoni uliosomeka: “Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee! Sitakufa bali...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ungependekeza kufungwa kwa saluni na vinyozi?

Australia imebadilisha uamuzi wa kuweka muda wa dakika 30 kwa saluni za kutengeza nywele kufuatia lalama nyingi zilizotolewa na wahusika

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini

Utafiti umeonya kwamba janga la corona huenda likasababisha asilimia 8 ya idadi ya watu duniani kuwa maskini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DOMINICA HAULE: Mwanaharakati anayeamini mafanikio huja kwa mpangilio

LEO namzungumzia Dominica Haule, mwanahabari mkongwe, mwanaharakati wa haki za binadamu anayepambana bila kelele, makeke, majigambo au mashindano. Anaamini utetezi wa haki za binadamu na suala zima la jinsia linahitaji...

 

10 years ago

Bongo5

Cpwaa: Kuna umuhimu wa kurudisha ile original Bongo Fleva, watu wanaigana sana

Mfalme wa Bongo Crunk, Cpwaa amesema kuwa mwezi ujao anategemea kuachia wimbo mpya ambao utakua na ladha ya Bongo Fleva ambayo anadai wasanii wengi wameitelekeza kutokana na kuiga muziki wa Nigeria. “Cpwaa bado anafanya muziki, Cpwaa bado ni king wa bongo crunk,na safari hii nikija nakuja kuwapa kile kitu watu ambacho wamekimiss.” Cpwaa ameiambia Bongo5. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani