Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini

Utafiti umeonya kwamba janga la corona huenda likasababisha asilimia 8 ya idadi ya watu duniani kuwa maskini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Uwezekano wa kufa ni mkubwa kiasi gani?

Makadirio ya tafiti za sasa, ni asilimia moja tu ya idadi ya vifo vya ugonjwa huo licha ya kuwa haijumuishi kila mmoja.

 

5 years ago

CCM Blog

UGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA

  Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hivi karibuni atatangaza iwapo atalegeza masharti ya watu kukaa nyumbani kutokana na mamabukizi ya Corona, katika taifa hilo ambalo limeshuhudia maambukizi ya watu 79.
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekataa kufutilia mbali uwezekano kwamba wadhfa wa waziri mkuu huenda ukabuniwa katika kura ya maoni ijayo kama njia ya kumfanya kuwa na madaraka baada ya muda wake wa kikatiba wa mihula miwili kama rais kukamilika.

 

9 years ago

Habarileo

JK: Kuna uhuru mkubwa wa kampeni

RAIS Jakaya Kikwete amemwambia Kiongozi wa Ujerumani, Kansela Angel Merkel, kuwa upo uhuru mkubwa na usiokuwa kifani kwa vyama vyote ya siasa kufanya kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri

Kwa mwaka wa tano mfufulizo, Emmanuel Mhimba amekuwa akiwekeza nguvu nyingi katika kilimo cha mpunga akitarajia mafanikio makubwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus China : Watu 97 wapoteza maisha yao katika siku iliotajwa kuwa mbaya zaidi

Takriban watu 908 wamefariki nchini China - licha ya idadi mpya ya maambukizi kupungua

 

11 years ago

GPL

DK.KIGWANGALA AUNGANA NA KAFULILA, ADAI KUNA WIZI MKUBWA UMEFANYIKA ESCROW

Makala: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangala ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ameungana na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kwa kudai kuwa ni kweli kuna wizi mkubwa umefanyika katika akaunti ya Escrow. Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Akizungumza na safu hii Dk.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwigulu: Ni aibu Tanzania kuwa maskini

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni aibu kwa nchi ya Tanzania kuwa maskini na tegemezi kwa zaidi ya miaka 50, tangu ilipopata uhuru licha ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Watiania sisi hatujajitakia kuwa maskini

Kengele ya Uchaguzi Mkuu nchini imepigwa. Katika chama tawala na baadhi ya vyama vya upinzani watu wameanza kutangaza kitu kinaitwa nia ya kugombea nafasi ya urais.Ndiyo nafasi kubwa kuliko zote katika nchi. Mtu anayetaka kugombea nafasi hii anakuwa amejipima kwamba yeye anaweza kuwa mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani