Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Kuna uhuru mkubwa wa kampeni

RAIS Jakaya Kikwete amemwambia Kiongozi wa Ujerumani, Kansela Angel Merkel, kuwa upo uhuru mkubwa na usiokuwa kifani kwa vyama vyote ya siasa kufanya kampeni zake kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Je kuna uhuru wakujieleza Rwanda ?

Miaka 20 tangu mauaji ya kimbari Rwanda imepiga hatua kubwa ya ufanisi lakini je ufanisi huu umeathiri vipi uhuru wa kujieleza

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini

Utafiti umeonya kwamba janga la corona huenda likasababisha asilimia 8 ya idadi ya watu duniani kuwa maskini.

 

11 years ago

GPL

DK.KIGWANGALA AUNGANA NA KAFULILA, ADAI KUNA WIZI MKUBWA UMEFANYIKA ESCROW

Makala: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangala ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ameungana na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kwa kudai kuwa ni kweli kuna wizi mkubwa umefanyika katika akaunti ya Escrow. Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Akizungumza na safu hii Dk.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL: Kuna kampeni chafu kuzuia punguzo la umeme

HOFU ya kupoteza soko kwa makampuni ya kigeni yanayozalisha umeme dhidi ya makampuni ya Kitanzania imetajwa kuwa chanzo cha vita dhidi ya Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa

01

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.

Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.

Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

GPL

RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA

Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

 

10 years ago

Vijimambo

TUMETOKA MBALI TUKO UHURU...TUJIVUNIE NA KUULINDA UHURU WETU DEC 6 TUNASHEREKEA PAMOJA



EARLY BIRD TICKETS FOR $75 ON SALE NOW UNTIL NOV. 10THREGULAR PRICE $100 AFTER NOV. 10THPRICE INCLUSIVE OF:*3 Course Dinner*Diamond & WCB Dancers Live Performance*Ultra Exclusive Red Carpet Feat. Premiere Host*Free Professional Photography Pictures*Elegant Ambiance & Settings*Cash Bar*Ample ParkingFOR TICKETS VISIT: WWW.DIAMONDUSATOUR.COM  

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAUNGANA NA KAMPUNI YA SARUJI YA DANGOTE KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU NA BAADAE BONANZA LA MICHEZO KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 54 YA UHURU WA TANZANIA

Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akiongoza timu ya wafanyakazi wa Mfuko pamoja na wafanyakazi wa Dangote kufanya usafi katika maeneo ya soko la Mbae na Ufukoni mkoni Mtwara katika kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania na kutekeleza agizo la Mh Rais John Pombe Magufuli la kuhakikisha watanzania wanafanya usafi katika maeneo yao.Zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya soko la Mbae na Ufukoni mkoni Mtwara likiendelea ikiwa ni katika kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani