UGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hivi karibuni atatangaza iwapo atalegeza masharti ya watu kukaa nyumbani kutokana na mamabukizi ya Corona, katika taifa hilo ambalo limeshuhudia maambukizi ya watu 79.
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZANZIBAR KULEGEZA MASHARTI YA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Shein ametoa kauli hiyo katika salamu zake za Eid kwa wananchi wa Zanzibar baada ya kumalizika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo amesema hali ya sasa ni nzuri ambapo Zanzibar ina wagonjwa 34 tu.
10 years ago
Habarileo03 Feb
Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virus via corona: Italia kulegeza masharti ya usafiri na marufuku ya kutotoka nje
5 years ago
CCM Blog16 May
ITALIA KAMA TANZANIA, YAANZA KULEGEZA MASHARTI YA USAFIRI NA MARUFUKU YA KUTOTOKA NJE
![italia](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/11707/production/_112313417_c911463f-6626-468d-8d05-9eb52127315f.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uganda yaambia Tullow haitaki masharti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1som_NUHqXE/XrEvlMdZapI/AAAAAAALpM4/FWKFOrHMkrEtaiWBEqIeHBKDDxwfjSj2wCLcBGAsYHQ/s72-c/Museveni_July_2012_Cropped.jpg)
UGANDA YALEGEZA MASHARTI YA 'LOCKDOWN', YATANGAZA KUVAA BARAKOA NI LAZIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1som_NUHqXE/XrEvlMdZapI/AAAAAAALpM4/FWKFOrHMkrEtaiWBEqIeHBKDDxwfjSj2wCLcBGAsYHQ/s400/Museveni_July_2012_Cropped.jpg)
Hatua hiyo ilitangazwa Jumatatu usiku ambapo rais Museveni alihutubia taifa baada ya kumaliza siku 35 za marufuku ya kutotoka nje ama 'lockdown'.
Museveni amesema watu wanaweza kuvalia mpaka barakoa ambazo zimeshonwa kienyeji na vitambaa.
Hata hivyo, kumekuwa na mashaka kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya ufnisi wa barakoa za kutengenezwa...
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda