Uganda yaambia Tullow haitaki masharti
Serikali ya Uganda imesema kuwa haitashurutishwa kufanya kile ambacho kampuni za mafuta zinazochimba mafuta nchinio humo zinataka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen19 Jul
Uganda wins case against Tullow
Tullow Oil Company has been ordered by a tax appeals tribunal to pay $407m, about USh1.069 trillion, to Uganda Revenue Authority (URA).
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Tullow kuilipa Uganda dola milioni 250
Kampuni ya Tullow Oil imesema kuwa itailipa serikali ya Uganda dola milioni 250 baada ya kuafikiana kuhusu mgogoro wa kodi kwa mda mrefu.
5 years ago
CCM BlogUGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1som_NUHqXE/XrEvlMdZapI/AAAAAAALpM4/FWKFOrHMkrEtaiWBEqIeHBKDDxwfjSj2wCLcBGAsYHQ/s72-c/Museveni_July_2012_Cropped.jpg)
UGANDA YALEGEZA MASHARTI YA 'LOCKDOWN', YATANGAZA KUVAA BARAKOA NI LAZIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1som_NUHqXE/XrEvlMdZapI/AAAAAAALpM4/FWKFOrHMkrEtaiWBEqIeHBKDDxwfjSj2wCLcBGAsYHQ/s400/Museveni_July_2012_Cropped.jpg)
Hatua hiyo ilitangazwa Jumatatu usiku ambapo rais Museveni alihutubia taifa baada ya kumaliza siku 35 za marufuku ya kutotoka nje ama 'lockdown'.
Museveni amesema watu wanaweza kuvalia mpaka barakoa ambazo zimeshonwa kienyeji na vitambaa.
Hata hivyo, kumekuwa na mashaka kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya ufnisi wa barakoa za kutengenezwa...
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya ya kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
9 years ago
Habarileo11 Sep
Yanga haitaki mzaha tena ufunguzi
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamesema malengo yao kwa msimu mpya wa 2015-2016 unaoanza kesho ni kuhakikisha wanashinda kila mchezo ili kuondoa doa la kufanya vibaya katika michezo ya ufunguzi.
10 years ago
Mwananchi10 Feb
CCM haitaki mgombea wa kusafisha kwa dodoki
>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema chama hicho hakitampitisha mgombea urais asiye na sifa na kuhangaika kumsafisha kwa dodoki ili atakate.
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya corona: Trump anasema China haitaki achaguliwe tena
Rais huyo wa Marekani anasema kwamba Bejing inakabiliwa na 'athari' mbaya kutoka kwa Marekani kuhusu virusi vya corona
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania