Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda yaambia Tullow haitaki masharti

Serikali ya Uganda imesema kuwa haitashurutishwa kufanya kile ambacho kampuni za mafuta zinazochimba mafuta nchinio humo zinataka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Uganda wins case against Tullow

Tullow Oil Company has been ordered by a tax appeals tribunal to pay $407m, about USh1.069 trillion, to Uganda Revenue Authority (URA).

 

10 years ago

BBCSwahili

Tullow kuilipa Uganda dola milioni 250

Kampuni ya Tullow Oil imesema kuwa itailipa serikali ya Uganda dola milioni 250 baada ya kuafikiana kuhusu mgogoro wa kodi kwa mda mrefu.

 

5 years ago

CCM Blog

UGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA

  Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hivi karibuni atatangaza iwapo atalegeza masharti ya watu kukaa nyumbani kutokana na mamabukizi ya Corona, katika taifa hilo ambalo limeshuhudia maambukizi ya watu 79.
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...

 

5 years ago

Michuzi

UGANDA YALEGEZA MASHARTI YA 'LOCKDOWN', YATANGAZA KUVAA BARAKOA NI LAZIMA

Rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa kuvaa barakoa ni jambo la lazima nchini humo kuanzia leo katika kipindi hiki ambacho marufuku ya kutotoka nje inalegezwa.

Hatua hiyo ilitangazwa Jumatatu usiku ambapo rais Museveni alihutubia taifa baada ya kumaliza siku 35 za marufuku ya kutotoka nje ama 'lockdown'.

Museveni amesema watu wanaweza kuvalia mpaka barakoa ambazo zimeshonwa kienyeji na vitambaa.

Hata hivyo, kumekuwa na mashaka kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya ufnisi wa barakoa za kutengenezwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya ya kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga haitaki mzaha tena ufunguzi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamesema malengo yao kwa msimu mpya wa 2015-2016 unaoanza kesho ni kuhakikisha wanashinda kila mchezo ili kuondoa doa la kufanya vibaya katika michezo ya ufunguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM haitaki mgombea wa kusafisha kwa dodoki

>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema chama hicho hakitampitisha mgombea urais asiye na sifa na kuhangaika kumsafisha kwa dodoki ili atakate.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump anasema China haitaki achaguliwe tena

Rais huyo wa Marekani anasema kwamba Bejing inakabiliwa na 'athari' mbaya kutoka kwa Marekani kuhusu virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani