Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tullow kuilipa Uganda dola milioni 250

Kampuni ya Tullow Oil imesema kuwa itailipa serikali ya Uganda dola milioni 250 baada ya kuafikiana kuhusu mgogoro wa kodi kwa mda mrefu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.


Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.


Floyd Mayweather
 
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...

 

10 years ago

Habarileo

Uganda yalipa dola milioni 9.7 tu inazodaiwa na Tanzania

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.SERIKALI ya Uganda imelipa Tanzania Dola za Marekani milioni 9.7 tu kati ya Dola milioni 18.4 walizotakiwa kuilipa serikali ya Tanzania kama fidia, itokanayo na athari ya vita baina ya Tanzania na Uganda.

 

11 years ago

TheCitizen

Uganda wins case against Tullow

Tullow Oil Company has been ordered by a tax appeals tribunal to pay $407m, about USh1.069 trillion, to Uganda Revenue Authority (URA).

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yaambia Tullow haitaki masharti

Serikali ya Uganda imesema kuwa haitashurutishwa kufanya kile ambacho kampuni za mafuta zinazochimba mafuta nchinio humo zinataka.

 

11 years ago

Habarileo

Uganda yaanza kuilipa Tanzania

SERIKALI ya Uganda tayari imeshaanza kulipa deni lake kwa Tanzania la dola za Marekani milioni 9.6 kati ya dola za Marekani milioni 18.4 ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978.

 

10 years ago

GPL

LINAH: NUSURA NIKOSE MILIONI 250

Musa Mateja MREMBO anayekimbiza na ngoma ya Ulithemba, Esterlina Sanga ‘Linah’, juzikati alifunguka kwamba, wivu wa mchumba wake Nangari Kombo ‘Nanga’,  nusura umkoseshe mamilioni ya fedha alizopewa kwenye udhamini na Kampuni ya Serengeti. Msanii wa muziki wa bongo fleva, Esterlina Sanga maarufu kama ‘Linah’. Akiteta na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Escape One, Mikocheni jijini Dar es...

 

11 years ago

Bongo Movies

Muigizaji Pastor Myamba apewa zawadi ya Tsh milioni 250 kwenye harusi yake.

Harusi ya Pastor Myamba pengine ndiyo harusi ya star wa Tanzania kuzawadia mali nyingi zaidi ! Myamba amefunga ndoa Zanzibar weend hii huku akizawadia zawadi kibao za mamilioni likiwemo gari na pesa taslim shilingi milioni 250 za kitanzania. Mastaa mbalimbali wamehudhuria harusi hiyo visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Kwa gari jipya na zawadi ya shilingi milioni 250, harusi ya Pastor Myamba ni funika bovu!

Kwa ukubwa wa zawadi aliyopewa, huenda harusi ya Pastor Myamba ikawa harusi ya staa wa Tanzania iliyofana na yenye stunts zaidi. Muigizaji huyo wa filamu aliukimbia mji wa Dar na kwenda kufungia harusi yake visiwani Zanzibar ambako hakuishia kualika mastaa wenzie tu, bali pia zawadi alizopewa, zinatosha kuanzisha kampuni yake nyingine. Pastor Myamba na mkewe […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Dola milioni 35 kugombaniwa fainali

Argentina na Ujerumani zitagombania dola milioni 35 kwenye mechi ya fainali mjini Rio De Janeiro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani