Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dola milioni 35 kugombaniwa fainali

Argentina na Ujerumani zitagombania dola milioni 35 kwenye mechi ya fainali mjini Rio De Janeiro.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dola milioni 10 za FIFA zililipwa Warner

BBC imegundua zilivyotumiwa pesa zilizotumwa kutoka FIFA kwenda kwa akaunti za aliyekuwa makamu rais wa shirikisho hilo

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West akumbuka dola milioni 20

kanye-west-vmas1CALIFORNIA, Marekani

NYOTA wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amekumbuka namna alivyotumia dola milioni 20 kwa ajili ya kurekebisha nyumba yao iliyopo California, nchini Marekani.

Eneo la nyumba yao lina ukubwa wa eka 3.5, ambapo Agosti mwaka jana nyumba hiyo ilionekana kuwa na matatizo madogo madogo.

Kanye amesema marekebisho hayo yameifanya nyumba hiyo kuwa na mwonekano mpya wa nyumba za kisasa, ambapo wanaamini mtoto wao, Nori atakuwa sehemu salama zaidi.

“Tumeona bora tubadilishe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maghembe adaiwa dola milioni 284

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imemkaanga Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe, ikimtaka ajieleze bungeni zilipo dola za kimarekani milioni 284.5 ambazo serikali ilitakiwa kuzitoa ili kufanikisha awamu ya kwanza...

 

9 years ago

BBCSwahili

UNHCR yapata dola milioni 6 za wakimbizi

Umoja wa mataifa umetangaza msaada wa dola milioni 6 kama msaada wa kibidamu kwa wale wanaokimbia mzozo nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Tullow kuilipa Uganda dola milioni 250

Kampuni ya Tullow Oil imesema kuwa itailipa serikali ya Uganda dola milioni 250 baada ya kuafikiana kuhusu mgogoro wa kodi kwa mda mrefu.

 

10 years ago

Habarileo

Uganda yalipa dola milioni 9.7 tu inazodaiwa na Tanzania

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum kabla ya soma bajeti ya Serikali kwa huu wa fedha mjini Dodoma.SERIKALI ya Uganda imelipa Tanzania Dola za Marekani milioni 9.7 tu kati ya Dola milioni 18.4 walizotakiwa kuilipa serikali ya Tanzania kama fidia, itokanayo na athari ya vita baina ya Tanzania na Uganda.

 

5 years ago

Michuzi

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450

Ugiriki inatarajiwa leo Alhamisi kulipa nusu ya deni lake la dola milioni 450 inayodaiwa na shirika la fedha Duniani IMF.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China

Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani