Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China
Shirika la habari la taifa la Uchina, linaarifu kuwa afisa wa zamani ambaye anashutumiwa kwa ufisadi mamilioni ya dola, amerejeshwa nyumbani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...
10 years ago
Bongo512 Mar
Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka
10 years ago
Vijimambo29 May
MAKAZI YA MICHAEL JACKSON ‘NEVERLAND’ YAINGIA RASMI SOKONI, YAUZWA KWA DOLA MILIONI 100
![292899DB00000578-3101512-Everlasting_There_are_still_a_few_small_signs_that_the_property_-a-18_1432854494050](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/292899DB00000578-3101512-Everlasting_There_are_still_a_few_small_signs_that_the_property_-a-18_1432854494050.jpg)
![292899E700000578-3101512-Not_the_same_Neverland_pictured_2001_now_known_as_Sycamore_Valle-a-25_1432854494339](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/292899E700000578-3101512-Not_the_same_Neverland_pictured_2001_now_known_as_Sycamore_Valle-a-25_1432854494339.jpg)
![2928999A00000578-3101512-Mini_town_While_the_amusement_park_has_now_been_removed_there_ar-a-23_1432854494233](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/2928999A00000578-3101512-Mini_town_While_the_amusement_park_has_now_been_removed_there_ar-a-23_1432854494233.jpg)
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya...
10 years ago
Habarileo26 Oct
China yazipatia nchi tatu dola milioni 85 kukabili ebola
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza kuwa, kwa mara ya nne katika kipindi kifupi inapeleka msaada wa dawa, vifaa na mahitaji mengine ya tiba yenye thamani ya dola za Marekani milioni 85 kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa nchi tatu za Afrika Magharibi, ambazo zinapambana na ugonjwa huo, ambao mpaka sasa umeua zaidi ya watu 4,000.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oCStbbgFXV8/XlfIqbYAH3I/AAAAAAALfts/KoKB1Mgah0oBK7G8gvdKHDcEnLreGzGJQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...
11 years ago
Habarileo17 May
Bunge lapewa dola 100,000 kununua vifaa
CHAMA kinachoshughulika katika kupunguza silaha na maridhiano nchini China, kimetoa dola 100,000 (Sh milioni 160) kwa ajili ya kununua vifaa mbalimbali kwa matumizi ya Bunge, ikiwa ni pamoja na kompyuta na vipaza sauti vya kisasa.
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Waziri adaiwa kununua kalamu kwa dola 100