MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu baada ya kuhukumiwa kulipa faini ya dola milioni 100 ama kifungo cha miaka mitatu jera
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
RAIA WA CAMEROON AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 100 AMA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
Pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa USD 84,300 alizokutwa nazo mshtakiwa.
Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashidi Chaungu baada ya mshtakiwa kukiri kosa lake.
Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro aliomba mahakama pamoja na adhabu ya kulipa faini aliomba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLSuPVV4czA/Xo2pEZBGJ5I/AAAAAAALmf0/Y3cBt9phgmUgtB67E7ZwrtvF9j1Y5ZtZwCLcBGAsYHQ/s72-c/a15a3111-e5ae-452d-b58d-82b5997eae2e.jpg)
NEWZ ALERT: MKURUGENZI MTENDAJI MTANDAO WA JAMII FORUM MAXENCE MERO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA AMA KULIPA FAINI
Hukumu hiyo imesomwa leo Aprili 8,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.
Hata hivyo mahakama imemuachia huru mshtakiwa Micke William ambaye ni Mwanahisa wa mtandao...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi 500,000 kila mmoja ama kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100 kinyume na sheria.
Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s72-c/00.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS, Charles Ekelege ahukumiwa kwenda jela miaka mitatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-crAmlu00R3Y/U_9Mf3BvpFI/AAAAAAAGMRM/-pUkJ3al_KQ/s1600/00.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekelege amehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwenda jela miaka mitatu na kuilipa serikali Dola 42,543 za Kimarekani, baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka kwa kutoa asilimia 50.
Kadhalika, Ekelege anadaiwa kutoa asilimi hiyo ya punguzo la tozo ya utawala kwa Kampuni mbili Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSkYgbw9L*EL-C9wzjn13*jTt4YPqDYQt3uIRRPLrES8kUwiYOCJ25O5APbiry3EUhPNFenQ7v7dsbUl1mCkWDq/SimoneGbagbo.jpg?width=650)
MKE WA GBAGBO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 20 JELA
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mBX0L__SGJo/VZrCHQ3_MYI/AAAAAAABRQk/xvrNsKfs7vM/s640/IMG-20150706-WA0021.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.
Washitakiwa hao walikuwa...