MKE WA GBAGBO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 20 JELA
![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSkYgbw9L*EL-C9wzjn13*jTt4YPqDYQt3uIRRPLrES8kUwiYOCJ25O5APbiry3EUhPNFenQ7v7dsbUl1mCkWDq/SimoneGbagbo.jpg?width=650)
Simone Gbagbo aliyekuwa mke wa Rais wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo. MAHAKAMA moja nchini Ivory Coast leo imemhukumu Simone Gbagbo aliyekuwa mke wa Rais wa nchi hiyo Laurent Gbagbo, kifungo cha miaka 20 gerezani. Laurent Gbagbo akiwa na mkewe Simone Gbagbo baada ya kukamatwa Aprili 11, 2011. Simone amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia ya kushiriki katika vurugu zilizotokea baada ya uchaguzi nchini humo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EGPrh5sA-5A/XpS_3BGG0LI/AAAAAAALm3Q/wQ3hET5BN8kBoJsLOKgzv1aQVdnWnQmYgCLcBGAsYHQ/s72-c/o.jpg)
IYANNA FLOYD KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA HADI MIAKA 99 JELA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mBX0L__SGJo/VZrCHQ3_MYI/AAAAAAABRQk/xvrNsKfs7vM/s640/IMG-20150706-WA0021.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.
Washitakiwa hao walikuwa...
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mke wa Gbagbo miaka 20 gerezani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oCStbbgFXV8/XlfIqbYAH3I/AAAAAAALfts/KoKB1Mgah0oBK7G8gvdKHDcEnLreGzGJQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...