Mke wa Gbagbo miaka 20 gerezani
Mahakama nchini Ivory Coast imemhukumu aliyekuwa mke wa Rais wa nchi hiyo Laurent Gbagbo, kifungo cha miaka 20 gerezani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSkYgbw9L*EL-C9wzjn13*jTt4YPqDYQt3uIRRPLrES8kUwiYOCJ25O5APbiry3EUhPNFenQ7v7dsbUl1mCkWDq/SimoneGbagbo.jpg?width=650)
MKE WA GBAGBO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 20 JELA
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA
Kwenye stori kubwa December 31 2015 ziko na hizi zilizoguswa na uchambuzi wa redioni kama ulipitwa. Mgonjwa aliyelipiwa gharama za matibabu na Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili agoma kutoka baada ya kuruhusiwa, gereza la Songwe liko kwenye mchakato wa kuvunjwa baada ya kugundulika kuwepo madini chini yake. Mtu mmoja ajinyonga Kenya huku akiacha ujumbe kuwa […]
The post Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA appeared...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Miaka 27 Mandela gerezani na tafakuri
NAANDIKA makala hii kumjibu msomaji wangu kutoka Shinyanga, aliyenipigia simu na kuniomba: “Nakuomba uandike makala ya uchambuzi juu ya maisha ya Mandela na ya Mwalimu Nyerere. Tuchambulie tujue, ni nani...
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mosri ahukumiwa miaka 20 gerezani
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8TLRwt8D9xGn18*1bDt5OwFmNqfOvBUARIHtxhNTDVtilpRYPB2wsXIEGgG5r4xNp*ADRtZfQ13OZpScoh6cx1/BABU.jpg)
BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TlZuy_yX7iw/XrWMFT12naI/AAAAAAALphM/er39MqVCxU0WPndFnZpMvBWNq7y6Zv19gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...
10 years ago
Habarileo22 Oct
Mke akiri kumsaliti mumewe miaka 7
SHAHIDI wa kwanza katika kesi ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii inayowakabili wakazi wawili wa Mbagala, Dar es Salaam, alidai kwamba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mlalamikaji kwa miaka saba huku akiwa na mume wake ambaye ni mshitakiwa namba moja katika kesi hiyo.