Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka 27 Mandela gerezani na tafakuri

NAANDIKA makala hii kumjibu msomaji wangu kutoka Shinyanga, aliyenipigia simu na kuniomba: “Nakuomba uandike makala ya uchambuzi juu ya maisha ya Mandela na ya Mwalimu Nyerere. Tuchambulie tujue, ni nani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mandela alivyofunika Dar, Zanzibar baada ya kutoka gerezani

Siku 23 baada ya Nelson Mandela kuachiwa huru kutoka gerezani, Februari 11, 1990 aliwasili hapa nchini kwa ziara fupi iliyokuwa na msisimko wa aina yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa Gbagbo miaka 20 gerezani

Mahakama nchini Ivory Coast imemhukumu aliyekuwa mke wa Rais wa nchi hiyo Laurent Gbagbo, kifungo cha miaka 20 gerezani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani

Habari za hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani

 

10 years ago

BBCSwahili

Mosri ahukumiwa miaka 20 gerezani

Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani

 

11 years ago

GPL

BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI

Stori: WAANDISHI WETU MASKINI! Wakati wakitimiza miaka 10 gerezani tangu walipohukumiwa Juni 25, 2004, mwanamuziki nguli wa dansi Bongo, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wametoa watu machozi kwa mara nyingine. Kwa pamoja wanamuziki nguli wa dansi Bongo, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wakitumbuiza. Wakitumbuiza...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake

Oscar Pistorius akiwasili katika mahakama ya Pretoria nchini Afrika kusini kusikiliza hukumu yake leo.
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...

 

5 years ago

Michuzi

AHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu  Islem Shebe Islem  (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.

Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...

 

11 years ago

Mwananchi

Kisiwa cha Robben; jela ya Mandela alikoishi miaka 17

Nchini Afrika Kusini, hakuna eneo la kivutio cha kitalii linalotembelewa na wageni wengi kama Kisiwa cha Robben. Umaarufu wa eneo hili umekuwa ukiongezeka mwaka mpaka mwaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani