Mosri ahukumiwa miaka 20 gerezani
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani
10 years ago
MichuziNews alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
5 years ago
MichuziAHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...
10 years ago
Michuzi19 Dec
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mke wa Gbagbo miaka 20 gerezani
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Miaka 27 Mandela gerezani na tafakuri
NAANDIKA makala hii kumjibu msomaji wangu kutoka Shinyanga, aliyenipigia simu na kuniomba: “Nakuomba uandike makala ya uchambuzi juu ya maisha ya Mandela na ya Mwalimu Nyerere. Tuchambulie tujue, ni nani...
11 years ago
GPLBABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Muindaji haramu ahukumiwa miaka 77 jela