WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi 500,000 kila mmoja ama kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100 kinyume na sheria.
Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
RAIA WA CAMEROON AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 100 AMA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EHlJzME-Loc/Xl-csD2V8WI/AAAAAAALg8g/P8RkBbm8Bc4lh1xtuy75Jxe73SN8wLIRwCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.13.39.jpeg)
Pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa USD 84,300 alizokutwa nazo mshtakiwa.
Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashidi Chaungu baada ya mshtakiwa kukiri kosa lake.
Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro aliomba mahakama pamoja na adhabu ya kulipa faini aliomba...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s72-c/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s640/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Washatkiwa wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XuLg6CxUePA/VnMRuTlLcqI/AAAAAAAINKk/fFIfOSEFppY/s640/ndovu.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A7iUsl_b1e8/VnMSFW5pJzI/AAAAAAAINKs/AD5xUX0K2bM/s640/ddc07c45-ec55-4001-937e-6015ed59afe3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaoh01WT5wSix0xw*8ccp7bvM6SIiC-7XHXRgHQ04Z5iN6uVoeZufJd1BYxhWn*Gzt8ZZikk6QfphL2Qqww1cWzD/BREAKING.gif)
MRAMBA, YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA NA FAINI YA MILIONI 5
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s72-c/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: MBOWE,WENZAKE WATAKIWA KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 350 AU KWENDA JELA MIEZI MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s640/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
Hukumu hiyo iliyochukua takribani saa nne imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema upande wa mashtaka unaweza kuthibitisha pasipo kuacha shtaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgCEOtf8fyFZfWbcBylWu3j1sX4Cq3AOLGJxwtZmwomHed3Lj*56nyZTv3ZAHGqINTPOCQdf56hlbez56XZf9B2/ekelege.jpg?width=650)
CHARLES EKELEGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Basil-Mramba-na-Daniel-Yona-wakiwa-mahakamani-hapo-leo..jpg)
YONA, MRAMBA KWENDA JELA MIAKA 2 BILA FAINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s72-c/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
KORTI YAMUHUKUMU RAIA WA SOMALIA KWENDA JELA MIAKA MITATU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1ifbrCGVTqo/XsPVLFx6FJI/AAAAAAALqxo/IrHiuHyd6AAnQCzuxj5HEVbt3Yga-DtRACLcBGAsYHQ/s400/3a36b112-8522-40dc-91cb-d1d35c49fcc1.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa jana Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya mshtakiwa huyo kukiri shtaka lake na hivyo kutiwa hatiani.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Simba amesema amezingatia maombi ya mshtakiwa kuwa anategemewa na familia na hivyo, mahakama imemuhukumu kulipa faini ya Sh. Milioni moja...