Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s72-c/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Washatkiwa wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Msangi akiwa na maafisa wake pamoj na Pembe za Faru walizokamatwa nazo rai wanne wa China katika mpaka wa Kasumulu wilayani Kyela mkoani Mbeya.
Raia wanne wa China ambao wamehukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-1BIq66NTZYU/VnMFlIVetMI/AAAAAAAAVPM/RTUFVaP4vK4/s640/ndovu12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMk73Npq4JY/VnMFkHdt44I/AAAAAAAAVPE/6-HoGPr4IZA/s640/ndovu.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.
Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EIKfpZt6jc/XrqNTPHVgqI/AAAAAAALp7E/6r-ivb2RzjoO0bkBC8qGcoMp0s24TxnUwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi 500,000 kila mmoja ama kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100 kinyume na sheria.
Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...
9 years ago
StarTV18 Dec
Raia wanne wa China wahukumia miaka 20 jela
Mahakama ya Mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China baada ya kuwakuta na hatia ya kuingiza nchini pembe 11 za Faru kinyume na Sheri ya Wanyamapori namba tano ya mwaka 2009 na Sheria ya Uhujumu Uchumi ya Tanzania.
Katika adhabu hiyo Mahakama pia imeamuru kutaifishwa kwa gari binafsi namba T 103 DER iliyotumiwa na raia hao wa China kuingiza pembe hizo nchini Novemba 6 mwaka huu kutoka nchini Malawi kupitia mpaka wa Kasumulo uliopo wilayani Kyela mkoani...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t4iLnqvdMuc/Vj41haSDaKI/AAAAAAAIE1s/YRa8wOzWVr0/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA RAIA WANNE WA NCHINI CHINA WAKIWA NA PEMBE 11 ZINAZODHANIWA ZA FARU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-t4iLnqvdMuc/Vj41haSDaKI/AAAAAAAIE1s/YRa8wOzWVr0/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xaHBQ_I_4ZU/Vj41haYYzHI/AAAAAAAIE1w/6Dxgw1VPQbs/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sI47T_2wBe0/Vj41hV_WDmI/AAAAAAAIE10/t0E5C9h_6k0/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU WANNE RAIA WA CHINA WAKIWA NA PEMBE 11 ZINAZODHANIWA ZA FARU. RAIA HAO WALIFAHAMIKA KWA MAJINA YA 1. XIAO SHAODAN (29) AKIWA NA PASSPORT NAMBA G.29624553 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA 2. CHEN JIANLIN (33) AKIWA NA PASSPORT NAMBA E.09800855 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA 3. SONG LEI (30) AKIWA NA PASSPORT NAMBA G.52064944 ILIYOTOLEWA NCHINI CHINA NA 4. HU LIANG (30) WOTE WAKAZI WA BLANTYRE NCHINI MALAWI.
WATUHUMIWA HAO WALIKAMATWA MNAMO TAREHE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
MAOFISA WANNE WA NEMC KIZIMBANI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TVMAOFISA wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka tisa yakiwemo ya kughushi, kula njama, utakatishaji fedha na kuisababishia Mamlaka hasara ya Sh. Milioni 18.5..
Katika hati ya mashtaka...
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6GjqCm-D88o/Vmvh0FWqvMI/AAAAAAAAVGk/voOfygtZdi4/s72-c/mahakama.jpg)
DEREVA MZEMBE AHUKUMIWA MIAKA MITATU JELA MKOANI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6GjqCm-D88o/Vmvh0FWqvMI/AAAAAAAAVGk/voOfygtZdi4/s320/mahakama.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imememhukumu kwenda jela miaka mitatu Martin Mhina Dereva wa basi la Majinja kwa kuendesha gari kwa uzembe.
Waendesha Mashitaka wa Serikali Hannarose Kasambala na Catherine Gwatu wameiambia Mahakama kuwa Dereva huyo aliendesha Basi la Kampuni ya Majinja kwa uzembe mapema mwaka huu majira ya saa 12 asubuhi kwa kuigonga gari aina ya Toyota Hilux na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
Mawakili hao wameiambia Mahakama kuwa Kesi hiyo namba...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...