Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa China aunganishwa kesi ya uhujumu uchumi

Raia wa China, Li Ling Ling ameunganishwa katika kesi ya uhujumu uchumi kwa  kuchora michoro ya kihalifu ya kusafirisha nyara za serikali zenye thamani ya Sh 267.4 milioni na matumizi mabaya ya madaraka inayowakabili maofisa usalama wanne wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania (TAA).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya


 Washatkiwa  wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Msangi akiwa na maafisa wake pamoj na Pembe za Faru walizokamatwa nazo  rai wanne wa China katika mpaka wa Kasumulu wilayani  Kyela mkoani Mbeya.Raia wanne wa China ambao wamehukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya...

 

5 years ago

Michuzi

MKAZI WA BUNJU KIZIMBANI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

Na Karama Kenyunko globu ya jamii 
MFANYABIASHARA Msiniege Mwakatumbula (56), Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili likiwemo la kukutwa akifanya biashara ya madini isivyo halali  mali Serikali na utakatishaji wa fedha.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa  serikali Mwandamizi Wankyo Simon imedai kuwa, Machi Mosi, 2020 huko katika eneo la Bunju B lililopo...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI



Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...

 

5 years ago

Michuzi

MAOFISA WANNE WA NEMC KIZIMBANI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

Maofisa wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu  jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.
Na Karama Kenyunko Michuzi TVMAOFISA wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka tisa yakiwemo ya kughushi, kula njama, utakatishaji fedha na kuisababishia Mamlaka hasara ya Sh. Milioni 18.5..
Katika hati ya mashtaka...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYAKAZI KAMPUNI YA GLOTEL LTD APANDISHWA KIZIMBANI KWA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

MFANYAKAZI wa Kampuni ya Glotel Ltd, Jousia Msophe (32), Mkazi wa Kigamboni Kibugum jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya wizi wa kuaminiwa na kutakatisha kiasi cha Sh. Milioni 158.

Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Faraji Nguka amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi,  Vicky Mwaikambo kuwa, kati ya Juni Mosi na Septemba 26 mwaka 2019 mshtakiwa aliiba sh. milioni 158 kutoka kwenye kampuni ya...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA KIBAHA PWANI AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

MFANYABIASHARA,  Salum Rajabu Selemani (51), anyeishi Kibaha Pwani, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji wa USD 898,000.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Easter Martin mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Rashid Chaungu imedai kuwa, kati ya Aprili Mosi na 20, mwaka huu ndani ya jiji la Dar es Salaam, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro  na...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika  kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...

 

5 years ago

Michuzi

UDHURU WA HAKIMU ANAYESIKILIZA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MWANDISHI ERICK KABENDERA WAKWAMISHA MAJADILIANO MAHAKAMANI

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Februari 17 mwaka  2020 imeshindwa kuendelea na makubaliano katika kesi a Uhujumu Uchumi inayomkabili  Mwandishi wa Habari Erick Kabendera kwa sababu Hakimu anayesikiliza kesi hiyo amepata udhuru.
Kwa mujibu wa ratiba ya kesi hiyo leo ilitegemewa kuwa ni hatma ya mwisho ya Kabendera kusota rumande tangu alipopandishwa kizimbani Agosti 5,mwaka  2019 baada ya kuingia makubaliano na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani